Benghazi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Benghazi.

Benghazi ni mji wa Libya, wa pili kwa wingi wa wakazi (631,555 mwaka 2011).

Unapatikana upande wa mashariki wa nchi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Benghazi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.