Bahari ya Flores

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mazingira ya Bahari ya Flores katika Asia kusini Mashariki

Bahari ya Flores (kwa Kiingereza: Flores Sea) ni sehemu ya bahari kati ya visiwa vya Indonesia.

Inapakana na kisiwa cha Celebes (Sulawesi) upande wa kaskazini. Visiwa vya Flores na Sumbawa viko upande wa kusini vikitenganisha sehemu hii na Bahari Hindi[1].

Eneo lake ni kilomita za mraba 240,000.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Islands in the Flores Sea, tovuti ya visible earth.nasa.gov, iliangaliwa Oktoba 2019

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Coordinates: 8°S 121°E / 8°S 121°E / -8; 121

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bahari ya Flores kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.