Anne McGrew Bennett

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Anne McGrew Bennett (Novemba 24, 1903; Oktoba 19, 1986) alikuwa mwandishi na mwanaharakati wa haki za wanawake.

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Bennett alizaliwa Lincoln, Nebraska], katika familia ya Wamarekani wa Scotch-Irish [1] huko sod house.[2] Alilelewa akiwa mshiriki wa kanisa la kikristo, na dini ilikuwa na sehemu kubwa maishani mwake. Baada ya shule ya upili, alikua mwalimu katika shule ya vijijini kabla ya kuchukua shahada ya elimu ya msingi kutoka Chuo Kikuu cha Nebraska mnamo mwaka 1928.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Inventory of the Anne McGrew Bennett Collection, 1959-84". oac.cdlib.org. Iliwekwa mnamo 23 August 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Anne Bennett, Christian Feminist Voice, Dies at 82". LA Times. 25 October 1986. Iliwekwa mnamo 23 August 2018.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Anne McGrew Bennett kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.