Alan MacDiarmid

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

'

Alan MacDiarmid
Alan MacDiarmid
Amezaliwa14 Aprili 1927
Amefariki7 Februari 2007
Kazi yakemwanakemia kutoka nchi ya New Zealand


Alan Graham MacDiarmid (14 Aprili 19277 Februari 2007) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya New Zealand. Hasa alichunguza sifa za polimeri. Mwaka wa 2000, pamoja na Alan Heeger na Hideki Shirakawa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Alan MacDiarmid alifundisha katika vyuo vikuu mbalimbali duniani na alikuwa na mchango mkubwa katika kuleta uelewa wa kemia ya polima na umuhimu wake katika teknolojia ya kisasa. Alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 79. Mchango wake katika kaziyake.

Tuzo ya Nobel ya Kemia ya mwaka 2000 kwa "ugunduzi
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Alan MacDiarmid kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.