Alama dola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alama dola ya msingi.

Alama dola au $ (kwa Kiingereza: "dollar sign" au "peso sign") ni alama inayotumika ili kuonyesha vitengo vya fedha nyingi.

Alama dola hutumika katika lugha za programu pia. Msimbo Unicode wa alama dola ni U+0024. Alama dola hutumika katika lugha za programu kama JavaScript, PHP au Python.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).