Alama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alama asili katika mazingira inayodokeza na kuthibitisha uwepo wa mtu hivi karibuni.
Alama ya hatari ya kibiolojia haihusiani nayo kabisa.

Alama (kwa Kiingereza "sign"[1]) ni kitu, mchoro, maandishi, kifaa ambacho hutambulisha kitu kingine, tukio, sehemu n.k.

Baadhi yake ni asili, kwa mfano radi ya umeme na dalili za ugonjwa.[2]


Baadhi zimetungwa na binadamu, kwa mfano vituo katika maandishi na vitendo vya mikono wakati wa kuongea.[3]

Ishara za Zodiac za Magharibi
Ishara kwenye pwani huko Durban katika enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini inaonyesha pwani ya ubaguzi wa rangi.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]