Agripini wa Napoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Agripini wa Napoli (pia: Arpino; karne ya 2 - 233) anatajwa kama askofu wa sita wa mji huo wa Italia Kusini.

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[1].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Agrippinus of Naples B (RM) (also known as Arpinus)". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-02-06. Iliwekwa mnamo 2020-11-08. 
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.