Afrika ya Magharibi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Afrika ya Maghribi (Kanda ya UM); Maghrib

Afrika ya Magharibi ni ukanda wa magharibi kwenye bara la Afrika.

Kwa kawaida huhesabiwa humo nchi zilizo kati ya jangwa la Sahara na Bahari ya Atlantiki. Upande wa mashariki ukanda huu unaishia kwenye mstari kati ya mlima Kamerun na ziwa Chad.

Katika lugha ya Kiarabu nchi za Afrika ya kaskazini-magharibi zinaitwa "Maghrib" yaani "Magharibi" lakini ni sehemu ya ukanda wa Afrika ya Kaskazini.

Ukanda wa Afrika ya Kakazini ya UM una nchi 16 zifuatazo pamoja na visiwa vya Kiingereza vya Saint Helena:

Benin
Porto-Novo
Burkina Faso
Ouagadougou
Cabo Verde
Praia
Côte d'Ivoire
Abidjan, Yamoussoukro
Gambia
Banjul
Ghana
Accra
Guinea
Conakry
Guinea-Bissau
Bissau
Liberia
Monrovia
Mali
Bamako
Mauritania
Nouakchott
Niger
Niamey
Nigeria
Abuja
Senegal
Dakar
Sierra Leone
Freetown
Togo
Lomé