Kihamer-Banna : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d →‎Viungo vya nje: +viungo vya OLAC na Glottolog using AWB
d kuondoa kiungo cha ramani using AWB
Mstari 3: Mstari 3:
==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==
*[http://multitree.org/codes/amf lugha ya Kihamer-Banna kwenye Multitree]
*[http://multitree.org/codes/amf lugha ya Kihamer-Banna kwenye Multitree]
*[http://llmap.org/languages/amf.html ramani ya Kihamer-Banna]
*[http://www.language-archives.org/language/amf makala za OLAC kuhusu Kihamer-Banna]
*[http://www.language-archives.org/language/amf makala za OLAC kuhusu Kihamer-Banna]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/hame1242 lugha ya Kihamer-Banna katika Glottolog]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/hame1242 lugha ya Kihamer-Banna katika Glottolog]

Pitio la 14:03, 12 Mei 2017

Kihamer-Banna ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Ethiopia inayozungumzwa na Wahamer na Wabanna, makabila mawili ambao huzungumza lugha moja. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kihamer-Banna imehesabiwa kuwa watu 74,400. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kihamer-Banna iko katika kundi la Kiomotiki.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kihamer-Banna kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.