Michelangelo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Michelangelos David.jpg|thumb|right|Sanamu ya [[Daudi]]]] |
[[Picha:Michelangelos David.jpg|thumb|right|Sanamu ya [[Daudi]]]] |
||
[[Picha:Michelangelo - Fresco of the Last Judgement.jpg|thumb|Picha ya [[Hukumu ya Mwisho]] kwenye ukuta wa Kikanisa cha Sistina (Vatikano)]] |
[[Picha:Michelangelo - Fresco of the Last Judgement.jpg|thumb|Picha ya [[Hukumu ya Mwisho]] kwenye ukuta wa Kikanisa cha Sistina (Vatikano)]] |
||
'''Michelangelo di Lodovico Buonarroti Simoni''' ([[6 Machi]] [[1475]] - [[18 Machi]] [[1564]]) alikuwa [[msanii]] nchini [[Italia]] aliye maarufu kama [[mchongaji]], [[mchoraji]], [[ |
'''Michelangelo di Lodovico Buonarroti Simoni''' ([[6 Machi]] [[1475]] - [[18 Machi]] [[1564]]) alikuwa [[msanii]] nchini [[Italia]] aliye maarufu kama [[mchongaji]], [[mchoraji]], [[msanifuujenzi]] na [[mshairi]]. Huhesabiwa kati ya wasanii muhimu zaidi wa [[zama ya mwamko]]. |
||
Kati ya kazi zake maarufu ni sanamu ya [[Daudi (Biblia)|kijana Daudi]] na |
Kati ya kazi zake maarufu zaidi ni [[sanamu]] ya [[Daudi (Biblia)|kijana Daudi]] na [[mchoro wa ukutani|michoro ya ukutani]] wa [[Kikanisa cha Sisto IV]] huko [[Vatikano]] mjini [[Roma]] alichopamba kwa [[hadithi]] na [[watu]] wa [[Biblia]]. |
||
Kati ya kazi zake maarufu kama |
Kati ya kazi zake maarufu kama msanifuujenzi ni hasa [[kuba]] ya [[Basilika la Mt. Petro]] kwenye [[Vatikano]] mjini Roma. |
||
== Picha == |
== Picha == |
Pitio la 14:17, 2 Mei 2017
Michelangelo di Lodovico Buonarroti Simoni (6 Machi 1475 - 18 Machi 1564) alikuwa msanii nchini Italia aliye maarufu kama mchongaji, mchoraji, msanifuujenzi na mshairi. Huhesabiwa kati ya wasanii muhimu zaidi wa zama ya mwamko.
Kati ya kazi zake maarufu zaidi ni sanamu ya kijana Daudi na michoro ya ukutani wa Kikanisa cha Sisto IV huko Vatikano mjini Roma alichopamba kwa hadithi na watu wa Biblia.
Kati ya kazi zake maarufu kama msanifuujenzi ni hasa kuba ya Basilika la Mt. Petro kwenye Vatikano mjini Roma.
Picha
-
Yesu awekwa kaburini, mafuta juu ya ubao, 161 × 149 cm
-
Mateso ya Mt. Petro, Kanisa Paolina - Vatikano.
-
Familia Takatifu na mtoto Yesu (Iko Firenze)
-
Mtumwa anayekufa
-
Bacchus (mungu wa Kiroma)
-
Sanamu ya Musa (Vatikano)
-
Kuba ya Basilika la Mt. Petro katika Vatikano ilitungwa na Michelangelo
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Michelangelo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |