Masafa ya mawimbi : Tofauti kati ya masahihisho
d Kipala alihamisha ukurasa wa Urefu wa wimbi hadi Masafa ya mawimbi |
masafa badala ya urefu |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[file:Periodic waves in shallow water.png|thumb|300px|Picha inaonyesha mawimbi kwenye bahari; alama ya λ inaonyesha umbali kati ya vilele |
[[file:Periodic waves in shallow water.png|thumb|300px|Picha inaonyesha mawimbi kwenye bahari; alama ya λ inaonyesha umbali kati ya vilele viwili au masafa ya mawimbi.]] |
||
[[Picha:Sine wavelength.svg|300px|thumbnail|Lukoka au urefu wa wimbi hupimwa kati ya sehemu zinazolingana ya mawimbi mawili.]] |
[[Picha:Sine wavelength.svg|300px|thumbnail|Lukoka au urefu wa wimbi hupimwa kati ya sehemu zinazolingana ya mawimbi mawili.]] |
||
''' |
'''Masafa ya mawimbi''' (pia '''urefu wa wimbi'''<ref>Kamusi ya TUKI</ref>, mara chache '''lukoka'''<ref>Lukoka ni [[pendekezo]] la [[KAST]], [[1995]] lisilotumika sana</ref>; kwa [[Kiingereza]] ''wavelength'') ni namna ya kupima na kutaja [[ukubwa]] wa [[wimbi]]. |
||
Ni [[umbali]] kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya [[kilele]] na kilele au ma[[bonde]] yao. |
Ni [[umbali]] kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya [[kilele]] na kilele au ma[[bonde]] yao. |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
*[[mawimbi sumakuumeme]] pamoja na [[nuru]] na [[wimbiredio]] |
*[[mawimbi sumakuumeme]] pamoja na [[nuru]] na [[wimbiredio]] |
||
Masafa ya mawimbi hutofautiana sana. Mawimbi marefu yanayoweza kutambuliwa na [[milango ya fahamu]] ya [[binadamu]] ni [[sauti]] ya [[besi]] yenye masafa ya [[mita]] 21. [[Sikio]] letu linatambua mawimbi yenye masafa kati ya [[milimita]] 17 hadi mita 21. |
|||
Mawimbi sumakuumeme yana upeo mkubwa. |
Mawimbi sumakuumeme yana upeo mkubwa. |
||
* |
*Masafa ya wimbiredio ni kati ya [[milimita]] 1 hadi [[kilomita]] 100. |
||
*nuru inayoonekana kwa [[macho]] yetu ina |
*nuru inayoonekana kwa [[macho]] yetu ina masafa kati ya [[nanomita]] 380 ([[urujuani]]) hadi 780 ([[nyekundu]]). [[Nyuki]] huona pia [[mnururisho]] mfupi zaidi yaani [[urujuanimno]], lakini hawaoni nyekundu. |
||
*[[eksirei]] zina |
*[[eksirei]] zina masafa baina ya nanomita 0.01 hadi 10. |
||
* |
*masafa ya mawimbi [[gammarei]] iko katika upeo wa [[pikomita]]. |
||
== |
==Masafa ya mawimbi na marudio== |
||
Masafa ya mawimbi huwa na uhusiano wa kinyume na [[marudio]] ya wimbi. Kama marudio ya wimbi ni ya juu, masafa yake yatakuwa madogo. Vilevile kinyume, kama wimbi lina masafa makubwa, marudio yake ni madogo. |
|||
==Marejeo== |
==Marejeo== |
Pitio la 14:53, 28 Aprili 2017
Masafa ya mawimbi (pia urefu wa wimbi[1], mara chache lukoka[2]; kwa Kiingereza wavelength) ni namna ya kupima na kutaja ukubwa wa wimbi.
Ni umbali kati ya sehemu za kulingana za mawimbi mawili ambayo yanafuatana, kwa mfano kati ya kilele na kilele au mabonde yao.
Mawimbi yapo kila sehemu ya mazingira asilia, kwa mfano:
- mawimbi ya maji
- mawimbisauti
- mawimbi sumakuumeme pamoja na nuru na wimbiredio
Masafa ya mawimbi hutofautiana sana. Mawimbi marefu yanayoweza kutambuliwa na milango ya fahamu ya binadamu ni sauti ya besi yenye masafa ya mita 21. Sikio letu linatambua mawimbi yenye masafa kati ya milimita 17 hadi mita 21.
Mawimbi sumakuumeme yana upeo mkubwa.
- Masafa ya wimbiredio ni kati ya milimita 1 hadi kilomita 100.
- nuru inayoonekana kwa macho yetu ina masafa kati ya nanomita 380 (urujuani) hadi 780 (nyekundu). Nyuki huona pia mnururisho mfupi zaidi yaani urujuanimno, lakini hawaoni nyekundu.
- eksirei zina masafa baina ya nanomita 0.01 hadi 10.
- masafa ya mawimbi gammarei iko katika upeo wa pikomita.
Masafa ya mawimbi na marudio
Masafa ya mawimbi huwa na uhusiano wa kinyume na marudio ya wimbi. Kama marudio ya wimbi ni ya juu, masafa yake yatakuwa madogo. Vilevile kinyume, kama wimbi lina masafa makubwa, marudio yake ni madogo.