Waraka wa kwanza kwa Wakorintho : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q80355 (translate me)
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{Agano Jipya}}
{{Agano Jipya}}
[[File:B Facundus 167.jpg|thumb|350px|"In a moment, in the twinkling of an eye, ''at the last trump'': for the trumpet shall sound, and the dead shall be raised incorruptible, and we shall be changed." 1 Corinthians 15:52. Illumination from [[Commentary on the Apocalypse|Beatus de Facundus]], 1047.]]

'''Barua ya kwanza kwa Wakorintho''' ni kati ya vitabu 27 vya [[Agano Jipya]] katika [[Biblia ya Kikristo]]
'''Barua ya kwanza kwa Wakorintho''' ni kati ya [[vitabu]] 27 vya [[Agano Jipya]] katika [[Biblia ya Kikristo]]


Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].


==Mazingira==
==Mazingira==
Kutoka [[Korintho]] habari za kusikitisha zilimfikia [[Mtume Paulo]] akiwa [[Efeso]] (pengine [[mwaka]] [[57]]): katika [[Kanisa]] hilo ambalo alilianzisha na kulipenda sana kulikuwa na [[shaka]] kuhusu [[imani]], ma[[farakano]], [[upinzani]] wa [[Wakristo wa Kiyahudi]] dhidi yake, na ma[[kwazo]].

Kutoka [[Korintho]] habari za kusikitisha zilimfikia [[Mtume Paulo]] akiwa [Efeso]] (pengine [[mwaka]] [[57]]): katika [[Kanisa]] hilo ambalo alilianzisha na kulipenda sana kulikuwa na [[shaka]] kuhusu [[imani]], ma[[farakano]], [[upinzani]] wa Wakristo wa Kiyahudi dhidi yake, na ma[[kwazo]].


Kilichohatarisha zaidi [[jumuia]] hiyo ni [[karama]] mbalimbali ambazo hao Wakristo wachanga walizijali mno na hatimaye wakajivunia kuwa nazo.
Kilichohatarisha zaidi [[jumuia]] hiyo ni [[karama]] mbalimbali ambazo hao Wakristo wachanga walizijali mno na hatimaye wakajivunia kuwa nazo.
Mstari 15: Mstari 14:
Ilimbidi Paulo arekebishe [[hali]] hiyo ili kuokoa hasa [[umoja wa Kanisa]] na [[heshima]] kwa viongozi wake halali.
Ilimbidi Paulo arekebishe [[hali]] hiyo ili kuokoa hasa [[umoja wa Kanisa]] na [[heshima]] kwa viongozi wake halali.


Basi mwaka mzima akawa na mahangaiko kwa wafuasi wake wa Korintho akawaandikia walau barua nne au tano, ingawa sisi tunazo mbili tu; pengine sehemu za baadhi yake zimeshonwa ndani ya 2Kor.
Basi mwaka mzima akawa na mahangaiko kwa wafuasi wake wa Korintho akawaandikia walau barua nne au tano, ingawa sisi tunazo mbili tu; pengine sehemu za baadhi yake zimeshonwa ndani ya [[2Kor]].


==Mpangilio==
==Mpangilio==

Mpangilio wa barua ya kwanza una salamu na shukrani, halafu hukumu juu ya matatizo ya Wakristo hasa kufarakana (1Kor 1:10-16; 2:1-4:16), kuzini na kushtakiana mahakamani (1Kor 5-6).
Mpangilio wa barua ya kwanza una salamu na shukrani, halafu hukumu juu ya matatizo ya Wakristo hasa kufarakana (1Kor 1:10-16; 2:1-4:16), kuzini na kushtakiana mahakamani (1Kor 5-6).


Mstari 28: Mstari 26:


==Madondoo muhimu==
==Madondoo muhimu==

Kati ya mambo mengi muhimu, barua hiyo inatunza simulizi la kwanza la [[karamu ya mwisho]] ya Bwana [[Yesu]] (11:23-25) na [[kanuni ya imani]] ya kwanza inayoorodhesha pia matokeo ya [[Yesu Kristo]] Mfufuka (15:3-8).
Kati ya mambo mengi muhimu, barua hiyo inatunza simulizi la kwanza la [[karamu ya mwisho]] ya Bwana [[Yesu]] (11:23-25) na [[kanuni ya imani]] ya kwanza inayoorodhesha pia matokeo ya [[Yesu Kristo]] Mfufuka (15:3-8).


==Kiungo cha nje==
== Marejeo ==
* Blenkinsopp, Joseph, ''The Corinthian Mirror: a Study of Contemporary Themes in a Pauline Epistle'' [i.e. in First Corinthians], Sheed and Ward, London, 1964.
* Conzelmann, Hans [https://books.google.com/books?id=GjhAozR6NusC&pg=PA&lpg=#v=onepage&q=&f=false ''Der erste Brief an die Korinther''], KEK V, Göttingen 1969.
* Robertson, A. and A. Plumber, [https://archive.org/stream/criticalexegetic33robeuoft#page/n9/mode/2up ''A Critical and Exegetical Commentary on the First Epistle of St. Paul to the Corinthians''] (Edinburgh 1961).
* Thiselton, Anthony C. ''The First Epistle to the Corinthians: a commentary on the Greek text'' NIGTC, Wm. B. Eerdmans Publishing Co., Grand Rapids 2000.
*[[Yung Suk Kim]]. ''Christ's Body in Corinth: The Politics of a Metaphor'' (Fortress, 2008).

==Viungo vya nje==
===Tafsiri ya Kiswahili===
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili


===Vinginevyo===
{{wikisource|1 Corinthians}}
{{wikiquote}}
* [http://www.vts.edu/ftpimages/95/download/download_group10628_id314972.pdf A Brief Introduction to 1 Corinthians]
* [http://www.studylight.org/enc/isb/view.cgi?number=T2324 International Standard Bible Encyclopedia: ''1 Corinthians'']
* {{cite EB1911|wstitle=Corinthians, Epistles to the|volume=7|pages=150–154|short=x}}

{{mbegu-AganoJ}}


[[Category: Vitabu vya Agano Jipya|Kor 1]]
[[Category: Vitabu vya Agano Jipya|Kor 1]]
[[Jamii:Mtume Paulo]]
[[Jamii:Korintho]]

Pitio la 12:06, 18 Aprili 2017

Agano Jipya

"In a moment, in the twinkling of an eye, at the last trump: for the trumpet shall sound, and the dead shall be raised incorruptible, and we shall be changed." 1 Corinthians 15:52. Illumination from Beatus de Facundus, 1047.

Barua ya kwanza kwa Wakorintho ni kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Mazingira

Kutoka Korintho habari za kusikitisha zilimfikia Mtume Paulo akiwa Efeso (pengine mwaka 57): katika Kanisa hilo ambalo alilianzisha na kulipenda sana kulikuwa na shaka kuhusu imani, mafarakano, upinzani wa Wakristo wa Kiyahudi dhidi yake, na makwazo.

Kilichohatarisha zaidi jumuia hiyo ni karama mbalimbali ambazo hao Wakristo wachanga walizijali mno na hatimaye wakajivunia kuwa nazo.

Vilevile walivutiwa kumfuata mtu kama Apolo, mwenye ujuzi na ufasaha mkubwa, mambo yaliyopendwa sana na Wagiriki.

Ilimbidi Paulo arekebishe hali hiyo ili kuokoa hasa umoja wa Kanisa na heshima kwa viongozi wake halali.

Basi mwaka mzima akawa na mahangaiko kwa wafuasi wake wa Korintho akawaandikia walau barua nne au tano, ingawa sisi tunazo mbili tu; pengine sehemu za baadhi yake zimeshonwa ndani ya 2Kor.

Mpangilio

Mpangilio wa barua ya kwanza una salamu na shukrani, halafu hukumu juu ya matatizo ya Wakristo hasa kufarakana (1Kor 1:10-16; 2:1-4:16), kuzini na kushtakiana mahakamani (1Kor 5-6).

Baada ya hapo akaanza kujibu maswali yao mbalimbali: kuhusu ndoa na useja (1Kor 7), nyama zilizotolewa sadaka kwa miungu (1Kor 8:1-11:1), mwenendo katika ibada na karama (1Kor 11:20-33; 12:4-13:13; 14:18-40), na hatimaye ufufuko wa wafu (1Kor 15:1-28,33-49).

Mwishoni kuna maagizo, taarifa na salamu mbalimbali (1Kor 16:1-4).

Ndiyo sababu barua ni ndefu na inagusa mambo mengi ambayo Paulo aliyatazama kwa hekima ya juu inayotokana na msalaba wa Kristo.

Madondoo muhimu

Kati ya mambo mengi muhimu, barua hiyo inatunza simulizi la kwanza la karamu ya mwisho ya Bwana Yesu (11:23-25) na kanuni ya imani ya kwanza inayoorodhesha pia matokeo ya Yesu Kristo Mfufuka (15:3-8).

Marejeo

Viungo vya nje

Tafsiri ya Kiswahili

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili

Vinginevyo

Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya Agano Jipya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waraka wa kwanza kwa Wakorintho kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.