Wanyiha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Wanyiha''' ni kabila la [[Tanzania]] wanaoishi katika [[Mkoa wa Mbeya]], [[Wilaya ya Mbozi]]. Pia wako [[Zambia]]. Lugha yao ni [[Kinyiha]]. |
'''Wanyiha''' ni [[kabila]] la watu wa [[Tanzania]] wanaoishi katika [[Mkoa wa Mbeya]], [[Wilaya ya Mbozi]]. Pia wako [[Zambia]]. [[Lugha]] yao ni [[Kinyiha]]. |
||
Wanyiha wamezungukwa na makabila mbalimbali wakiwemo [[Wasafwa]], [[Wandali]], [[Wanyakyusa]], [[Wabungu]] na [[Wanyamwanga]]. |
|||
⚫ | |||
{{mbegu-utamaduni-TZ}} |
{{mbegu-utamaduni-TZ}} |
||
{{fupi}} |
|||
{{DEFAULTSORT:Nyiha}} |
{{DEFAULTSORT:Nyiha}} |
||
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]] |
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]] |
||
[[Jamii:Makabila ya Zambia]] |
|||
⚫ | |||
[[Jamii:Wilaya ya Mbozi]] |
|||
Hebu tuangalie baadhi ya maneno ya kinyiha na maana sake kwa kiswahili: |
|||
Amafindango- miujiza |
|||
Aminzi- maji |
|||
Abhantu- watu |
|||
Mwakata- za asubuhi (hutumika kusalimia asubuhi au ksma hujaonana na mtu kwa muda mrefu sana) |
|||
Mwizya- hutumika kusalimia mama mmeshaonana na mtu Mara ya kwanza |
|||
Ena- mwitiko was salamu |
Pitio la 12:47, 17 Februari 2017
Wanyiha ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mbeya, Wilaya ya Mbozi. Pia wako Zambia. Lugha yao ni Kinyiha.
Wanyiha wamezungukwa na makabila mbalimbali wakiwemo Wasafwa, Wandali, Wanyakyusa, Wabungu na Wanyamwanga.
Wanyiha walio wengi ni wakulima: zao kuu la chakula ni mahindi wakati zao kubwa la biashara ni kahawa.
Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wanyiha kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |