Dzeta : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 71 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q14394 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
{{Alfabeti ya Kigiriki kamili|herufi=Zeta uc lc}} |
{{Alfabeti ya Kigiriki kamili|herufi=Zeta uc lc}} |
||
'''Dzeta''' (pia: '''Zeta''') ni herufi ya sita katika [[Alfabeti ya Kigiriki]]. Inaandikwa kama''' |
'''Dzeta''' (pia: '''Zeta''') ni [[herufi]] ya [[sita]] katika [[Alfabeti ya Kigiriki]]. Inaandikwa kama '''ζ''' (alama ya kawaida) au '''Ζ''' (alama kubwa). Zamani za [[Kigiriki cha Kale]] ilikuwa pia [[tarakimu]], ikiwa alama ya [[namba]] 7. |
||
Asili ya dzeta ni herufi ya [[ |
Asili ya dzeta ni herufi ya [[Kifinisia]] ya zayin (tazama makala ya herufi [[Z]]). Matamshi yake yalikuwa "dz", katika [[Kigiriki]] cha kisasa ni zaidi kama Z ya [[Kiswahili]]. Kutokana na herufi hiyo, [[alfabeti ya Kilatini]] ina "Z" na [[alfabeti ya Kikirili]] ina "З". |
||
Jinsi ilivyo kawaida |
Jinsi ilivyo kawaida kwa herufi mbalimbali za Kigiriki ζ inatumiwa kama kifupisho kwa ajili ya [[dhana]] mbalimbali katika [[hisabati]] na [[fizikia]]. |
||
[[Jamii:Alfabeti ya Kigiriki]] |
[[Jamii:Alfabeti ya Kigiriki]] |
Toleo la sasa la 12:47, 29 Januari 2017
Alfabeti ya Kigiriki | |||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|
Herufi za kawaida | |||||||
Α α Alfa | 1 | Ν ν Ni | 50 | ||||
Β β Beta | 2 | Ξ ξ Ksi | 60 | ||||
Γ γ Gamma | 3 | Ο ο Omikron | 70 | ||||
Δ δ Delta | 4 | Π π Pi | 80 | ||||
Ε ε Epsilon | 5 | Ρ ρ Rho | 100 | ||||
Ζ ζ Dzeta | 7 | Σ σ ς Sigma | 200 | ||||
Η η Eta | 8 | Τ τ Tau | 300 | ||||
Θ θ Theta | 9 | Υ υ Ipsilon | 400 | ||||
Ι ι Iota | 10 | Φ φ Phi | 500 | ||||
Κ κ Kappa | 20 | Χ χ Khi | 600 | ||||
Λλ Lambda | 30 | Ψ ψ Psi | 700 | ||||
Μ μ Mi | 40 | Ω ω Omega | 800 | ||||
Herufi za kihistoria1 | |||||||
Digamma | 6 | San | 90 | ||||
Stigma | 6 | Sho | 90 | ||||
Heta | 8 | Koppa | 90 | ||||
Sampi | 900 | ||||||
1 Viungo vya Nje: Alfabeti_ya_Kigiriki#Viungo_vya_Nje |
Dzeta (pia: Zeta) ni herufi ya sita katika Alfabeti ya Kigiriki. Inaandikwa kama ζ (alama ya kawaida) au Ζ (alama kubwa). Zamani za Kigiriki cha Kale ilikuwa pia tarakimu, ikiwa alama ya namba 7.
Asili ya dzeta ni herufi ya Kifinisia ya zayin (tazama makala ya herufi Z). Matamshi yake yalikuwa "dz", katika Kigiriki cha kisasa ni zaidi kama Z ya Kiswahili. Kutokana na herufi hiyo, alfabeti ya Kilatini ina "Z" na alfabeti ya Kikirili ina "З".
Jinsi ilivyo kawaida kwa herufi mbalimbali za Kigiriki ζ inatumiwa kama kifupisho kwa ajili ya dhana mbalimbali katika hisabati na fizikia.