26 Juni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 9: | Mstari 9: | ||
== Waliozaliwa == |
== Waliozaliwa == |
||
* [[1581]] - [[Mtakatifu]] [[Petro Claver]], [[padri]] [[mmisionari]] wa [[Shirika la Yesu]] kutoka [[Hispania]] |
* [[1581]] - [[Mtakatifu]] [[Petro Claver]], [[padri]] [[mmisionari]] wa [[Shirika la Yesu]] kutoka [[Hispania]] |
||
* [[1891]] - [[Sidney Howard]], mwandishi kutoka [[Marekani]] |
|||
* [[1892]] - [[Pearl S. Buck]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1938]]) |
* [[1892]] - [[Pearl S. Buck]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1938]]) |
||
* [[1937]] - [[Robert Richardson]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1996]] |
* [[1937]] - [[Robert Richardson]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1996]] |
Pitio la 14:31, 24 Januari 2017
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 26 Juni ni siku ya 177 ya mwaka (ya 178 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 188.
Matukio
- 1945 - Umoja wa Mataifa unaanzishwa mjini San Francisco na kuchukua nafasi ya Shirikisho la Mataifa
- 1960 - Kisiwa cha Madagaska kinapata uhuru kutoka Ufaransa
- 1960 - Somalia ya Kiingereza inapata uhuru kutoka Uingereza
Waliozaliwa
- 1581 - Mtakatifu Petro Claver, padri mmisionari wa Shirika la Yesu kutoka Hispania
- 1891 - Sidney Howard, mwandishi kutoka Marekani
- 1892 - Pearl S. Buck, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1938)
- 1937 - Robert Richardson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1996
- 1941 - Omar Ali Juma, mwanasiasa kutoka Zanzibar
- 1942 - Gilberto Gil, mwanamuziki na Waziri wa Utamaduni nchini Brazil
- 1966 - Adam Kighoma Malima, mbunge wa Tanzania
- 1970 - Sean Hayes, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1987 - Samir Nasri, mchezaji mpira kutoka Ufaransa
Waliofariki
- 1541 - Francisco Pizarro, aliyevamia Peru na kuharibu Dola la Inka, anauawa mjini Lima
- 1943 - Karl Landsteiner, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1930)
- 1975 - Mtakatifu Josemaría Escrivá, padri, mwanzilishi wa Opus Dei kutoka Hispania
- 2007 - Amina Chifupa, mbunge wa Tanzania
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya watakatifu Yohane na Paulo, wafiadini, na ya mtakatifu Yosefu Maria Escriva, padri
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 26 Juni kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |