Teknolojia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 123 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q11016 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Astronaut-EVA.jpg|thumb|right|Katika nusu ya pili ya [[karne ya 20]] wanadamu walifaulu kutumia teknolojia mbalimbali kuwafikisha watu kwenye [[anga la nje]].]] |
[[Picha:Astronaut-EVA.jpg|thumb|right|Katika nusu ya pili ya [[karne ya 20]] wanadamu walifaulu kutumia teknolojia mbalimbali kuwafikisha watu kwenye [[anga la nje]].]] |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
Teknolojia inaweza kumaanisha: |
Teknolojia inaweza kumaanisha: |
||
* vifaa na mashine zinazotumika katika matengenezo au uzalishaji wa vitu |
* vifaa na [[mashine]] zinazotumika katika matengenezo au uzalishaji wa vitu |
||
* elimu ya matumizi yake pamoja na mbinu na maarifa jinsi ya kutumia sayansi |
* elimu ya matumizi yake pamoja na mbinu na maarifa jinsi ya kutumia [[sayansi]] |
||
* uwezo wa kubadili malighafi asilia na kuwa bidhaa yenye thamani inayoweza kukidhi mahitaji ya |
* uwezo wa kubadili malighafi asilia na kuwa [[bidhaa]] yenye [[thamani]] inayoweza kukidhi mahitaji ya [[binadamu]]. Hapa bidhaa haimaanishi tu vitu kama [[godoro|magodoro]], [[Gari|magari]] ya kutembelea, [[unga]] wa [[ngano]] n.k., la hasha: ni huduma yoyote inayotolewa kwa jamii, mfano huduma ya [[usafiri]], huduma ya [[utalii]], huduma ya [[chakula]], na pamoja na vitu vyote vinavyozalishwa [[viwanda|viwandani]]. |
||
==Tazama pia== |
|||
⚫ | |||
{{Sayansi}} |
|||
⚫ | |||
[[Jamii:Teknolojia|!]] |
[[Jamii:Teknolojia|!]] |
Pitio la 14:02, 15 Januari 2017
Teknolojia ni elimu inayohusu uhandisi, ufundi, ujenzi, vifaa na mbinu za uzalishaji wa vifaa na huduma katika jamii.
Asili ya neno ni Kigiriki "τέχνη" (tamka: tékhne): „uwezo, usanii, ufundi".
Teknolojia inaweza kumaanisha:
- vifaa na mashine zinazotumika katika matengenezo au uzalishaji wa vitu
- elimu ya matumizi yake pamoja na mbinu na maarifa jinsi ya kutumia sayansi
- uwezo wa kubadili malighafi asilia na kuwa bidhaa yenye thamani inayoweza kukidhi mahitaji ya binadamu. Hapa bidhaa haimaanishi tu vitu kama magodoro, magari ya kutembelea, unga wa ngano n.k., la hasha: ni huduma yoyote inayotolewa kwa jamii, mfano huduma ya usafiri, huduma ya utalii, huduma ya chakula, na pamoja na vitu vyote vinavyozalishwa viwandani.