5 Julai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 19: | Mstari 19: | ||
* [[1966]] - [[Georg von Hevesy]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1943]] |
* [[1966]] - [[Georg von Hevesy]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1943]] |
||
* [[1969]] - [[Tom Mboya]], mwanasiasa wa [[Kenya]], aliuawa |
* [[1969]] - [[Tom Mboya]], mwanasiasa wa [[Kenya]], aliuawa |
||
* [[1991]] - [[Howard Nemerov]], mshairi kutoka [[Marekani]] |
|||
==Sikukuu== |
==Sikukuu== |
Pitio la 19:02, 6 Januari 2017
Jun - Julai - Ago | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 5 Julai ni siku ya 186 ya mwaka (ya 187 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 179.
Matukio
- 1962 - Nchi ya Algeria inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 1975 - Visiwa vya Cabo Verde vinapata uhuru kutoka Ureno
Waliozaliwa
- 1810 - P. T. Barnum, mfanyabiashara kutoka Marekani
- 1888 - Herbert Spencer Gasser, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1944
- 1891 - John Howard Northrop, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1946
- 1968 - George Boniface Simbachawene, mwanasiasa wa Tanzania
- 1969 - RZA, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1981 - Ambwene Yessayah, mwanamuziki kutoka Tanzania
Waliofariki
- 1539 - Mtakatifu Antonio Maria Zaccaria, padri mwanzilishi wa Wabarnaba
- 1927 - Albrecht Kossel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1910
- 1966 - Georg von Hevesy, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1943
- 1969 - Tom Mboya, mwanasiasa wa Kenya, aliuawa
- 1991 - Howard Nemerov, mshairi kutoka Marekani
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Antonio Maria Zaccaria, padri
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 5 Julai kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |