14 Mei : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 19: | Mstari 19: | ||
* [[1940]] - [[Emma Goldman]], [[mwanaharakati]] wa [[utawala huria]] kutoka [[Urusi]] na [[Marekani]] |
* [[1940]] - [[Emma Goldman]], [[mwanaharakati]] wa [[utawala huria]] kutoka [[Urusi]] na [[Marekani]] |
||
* [[1995]] - [[Christian Anfinsen]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1972]] |
* [[1995]] - [[Christian Anfinsen]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1972]] |
||
* [[2000]] - [[Karl Shapiro]], mshairi kutoka [[Marekani]] |
|||
* [[2006]] - [[Robert Merrifield]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1984]] |
* [[2006]] - [[Robert Merrifield]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1984]] |
||
Pitio la 16:51, 3 Januari 2017
Apr - Mei - Jun | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 14 Mei ni siku ya 134 ya mwaka (ya 135 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 231.
Matukio
- 1643 - Louis XIV anakuwa mfalme wa Ufaransa akiwa na umri wa miaka minne tu
- 1811 - Nchi ya Paraguay inatangaza uhuru wake kutoka Hispania
Waliozaliwa
- 1928 - Che Guevara, mwanamapinduzi kutoka Argentina
- 1944 - George Lucas, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 1952 - David Byrne, mwanamuziki wa Marekani
- 1968 - Ranko Matasović, mtaalamu wa isimu kutoka Kroatia
- 1984 - Mark Zuckerberg, mwanzilishi mwenza wa Facebook
Waliofariki
- 649 - Papa Theodor I
- 964 - Papa Yohane XII
- 1863 - Mtakatifu Mikaeli Garikoitz, padri wa Ufaransa
- 1940 - Emma Goldman, mwanaharakati wa utawala huria kutoka Urusi na Marekani
- 1995 - Christian Anfinsen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1972
- 2000 - Karl Shapiro, mshairi kutoka Marekani
- 2006 - Robert Merrifield, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1984
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha sikukuu ya mtakatifu Mtume Matia, na kumbukumbu ya mtakatifu Mikaeli Garikoitz, [padri]]
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 14 Mei kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |