18 Januari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 13: | Mstari 13: | ||
== Waliofariki == |
== Waliofariki == |
||
* [[1271]] - [[Mtakatifu]] [[Margareta wa Hungaria]], [[O.P.]], [[bikira]] |
|||
* [[1471]] - [[Go-Hanazono]], [[mfalme mkuu]] wa [[Japani]] ([[1428]]-[[1464]]) |
* [[1471]] - [[Go-Hanazono]], [[mfalme mkuu]] wa [[Japani]] ([[1428]]-[[1464]]) |
||
* [[1862]] - [[John Tyler]], [[Rais]] wa [[Marekani]] ([[1841]]-[[1845]]) |
* [[1862]] - [[John Tyler]], [[Rais]] wa [[Marekani]] ([[1841]]-[[1845]]) |
Pitio la 12:36, 10 Desemba 2016
Des - Januari - Feb | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 18 Januari ni siku ya kumi na nane ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 347 (348 katika miaka mirefu).
Matukio
- 1535 - Francisco Pizarro anaunda mji wa Lima (Peru)
- 1701 - Mtemi Friedrich wa Brandenburg (Ujerumani) anabarikiwa kuwa na cheo cha mfalme katika Prussia
- 1871 - Mfalme Wilhelm I wa Prussia anatangazwa kuwa Kaisari wa Ujerumani mjini Versailles (Ufaransa)
Waliozaliwa
- 1849 - Edmund Barton, Waziri Mkuu wa kwanza wa Australia
- 1867 - Rubén Darío, mwandishi kutoka Nikaragua
- 1986 - Ropa Garise, mwanamitindo kutoka Zimbabwe
Waliofariki
- 1271 - Mtakatifu Margareta wa Hungaria, O.P., bikira
- 1471 - Go-Hanazono, mfalme mkuu wa Japani (1428-1464)
- 1862 - John Tyler, Rais wa Marekani (1841-1845)
- 1936 - Rudyard Kipling, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1907
- 1982 - Huang Xianfan, mwanahistoria kutoka China
- 1995 - Adolf Butenandt, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1939
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Margareta wa Hungaria, bikira
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 18 Januari kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |