Nanomita : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 4: Mstari 4:
Kipimo hiki hutumiwa kwa kutaja vipimo katika [[fizikia]] ya [[atomi]] na [[molekuli]], pia katika [[biolojia]] kwa vipimo vya [[kiini cha seli]] na [[jenetikia]]. Kipenyo cha [[atomi]] ya [[heli]] ni takriban 0.1 nm; [[virusi]] nyingi vina kipenyo cha baina 20 nm na 300 nm.
Kipimo hiki hutumiwa kwa kutaja vipimo katika [[fizikia]] ya [[atomi]] na [[molekuli]], pia katika [[biolojia]] kwa vipimo vya [[kiini cha seli]] na [[jenetikia]]. Kipenyo cha [[atomi]] ya [[heli]] ni takriban 0.1 nm; [[virusi]] nyingi vina kipenyo cha baina 20 nm na 300 nm.


Nanomita ni pia kipimo cha kawaida kwa kutaja urefu wa mawimbi ya usumakuumeme. Nuru inayoonekana ina urefu wa wimbi kati ya 400 nm hadi 800 nm. .<ref>Hewakuruppu, Y., et al., ''[https://www.researchgate.net/publication/257069746_Plasmonic__pump__probe__method_to_study_semi-transparent_nanofluids?ev=prf_pub Plasmonic “ pump – probe ” method to study semi-transparent nanofluids]'', Applied Optics, 52(24):6041-6050</ref>
Nanomita ni pia kipimo cha kawaida kwa kutaja urefu wa [[Mnururisho sumakuumeme|mawimbi ya usumakuumeme]]. [[Nuru]] inayoonekana ina urefu wa wimbi kati ya 400 nm hadi 800 nm. .<ref>Hewakuruppu, Y., et al., ''[https://www.researchgate.net/publication/257069746_Plasmonic__pump__probe__method_to_study_semi-transparent_nanofluids?ev=prf_pub Plasmonic “ pump – probe ” method to study semi-transparent nanofluids]'', Applied Optics, 52(24):6041-6050</ref>


Kipimo hiki kinatumiwa sana kwa makadirio katika [[teknolojia ya nano]].
Kipimo hiki kinatumiwa sana kwa makadirio katika [[teknolojia ya nano]].

Pitio la 20:26, 8 Desemba 2016

Nanomita (ing. nanometer, alama nm[1]) ni kipimo cha SI cha kutaja urefo mdogo wa 10−9 mita. Kwa lugha nyingine, ni sehemu ya bilioni 1 ya mita 1.

Matumizi

Kipimo hiki hutumiwa kwa kutaja vipimo katika fizikia ya atomi na molekuli, pia katika biolojia kwa vipimo vya kiini cha seli na jenetikia. Kipenyo cha atomi ya heli ni takriban 0.1 nm; virusi nyingi vina kipenyo cha baina 20 nm na 300 nm.

Nanomita ni pia kipimo cha kawaida kwa kutaja urefu wa mawimbi ya usumakuumeme. Nuru inayoonekana ina urefu wa wimbi kati ya 400 nm hadi 800 nm. .[2]

Kipimo hiki kinatumiwa sana kwa makadirio katika teknolojia ya nano.

Neno latokana na lugha ya (Kigiriki: nanos (νάνος, "kibete") pamoja na neno "mita" (gir.μέτρον, metrοn, "kizio cha kipimo")

Ulinganifu

Nanomita 1 = 1.0 x 10−9 mita = 1000 pikomita; 1000 nm = 1 mikromita

Marejeo

Tazama pia

Marejeo


Tovuti za Nje