Kulturkampf : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|200px|Papa Pius IX (1878 hivi). File:Bundesarchiv Bild 183-R29818, Otto von Bismarck.jpg|thumb|left|upright|Bismarck (1875...'
 
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[File:IX. Piusz pápa.jpg|thumb|200px|Papa Pius IX (1878 hivi).]]
[[File:IX. Piusz pápa.jpg|thumb|200px|[[Mwenye heri]] Papa Pius IX (1878 hivi).]]
[[File:Bundesarchiv Bild 183-R29818, Otto von Bismarck.jpg|thumb|left|upright|Bismarck (1875 hivi).]]
[[File:Bundesarchiv Bild 183-R29818, Otto von Bismarck.jpg|thumb|left|upright|Chansela Otto von Bismarck (1875 hivi).]]
'''Kulturkampf''' (kwa [[Kijerumani]] "[[Vita]] vya [[utamaduni]]") ni jina la ushindani kati ya [[serikali]] za nchi kadhaa, hasa [[Dola la Ujerumani]] chini ya [[kansela]] [[Otto von Bismarck]], na [[Kanisa Katoliki]] katika [[karne ya 19]]<ref>Josef L. Altholz, "The Vatican Decrees Controversy, 1874-1875." ''Catholic Historical Review'' (1972): 593-605. [http://www.jstor.org/stable/25018950 in JSTOR]</ref><ref>Ramet, Sabrina in: Obstat, Nihil. Religion, Politics, and Social Change in East-Central Europe and Russia, Duke University Press, 1998, ISBN 978-0-8223-2070-8, p 107</ref><ref>Borst, William in: "The Mexican Kulturkampf. The Christeros and the Crusade for the greater Glory of God", ''Mindszenty Report'' 54#8 August 2012:</ref><ref>Morton, Adam in: ''Revolution and State in Modern Mexico'' (Rowman & Littlefield, 2011), p. 50, ISBN 9780742554900</ref><ref>Martin, Percy in: ''Causes of the Collapse of the Brazilian Empire'', The Hispanic American Historical Review, Duke University Press, 1921, Vol. 4, No. 1, pp. 4-48</ref><ref>Dittrich, Lisa in: Antiklerikalismuns in Europa: Öffentlichkeit und Säkularisierung in Frankreich, Spanien und Deutschland (1848-1914), Vandenhoek & Ruprecht, Göttingen, 1914, ISBN 9783525310236</ref>.
'''Kulturkampf''' (kwa [[Kijerumani]] "[[Vita]] vya [[utamaduni]]") ni jina la ushindani kati ya [[serikali]] za nchi kadhaa, hasa [[Dola la Ujerumani]] chini ya [[chansela]] [[Otto von Bismarck]], na [[Kanisa Katoliki]] katika [[karne ya 19]]<ref>Josef L. Altholz, "The Vatican Decrees Controversy, 1874-1875." ''Catholic Historical Review'' (1972): 593-605. [http://www.jstor.org/stable/25018950 in JSTOR]</ref><ref>Ramet, Sabrina in: Obstat, Nihil. Religion, Politics, and Social Change in East-Central Europe and Russia, Duke University Press, 1998, ISBN 978-0-8223-2070-8, p 107</ref><ref>Dittrich, Lisa in: Antiklerikalismuns in Europa: Öffentlichkeit und Säkularisierung in Frankreich, Spanien und Deutschland (1848-1914), Vandenhoek & Ruprecht, Göttingen, 1914, ISBN 9783525310236</ref><ref>Borst, William in: "The Mexican Kulturkampf. The Christeros and the Crusade for the greater Glory of God", ''Mindszenty Report'' 54#8 August 2012:</ref><ref>Morton, Adam in: ''Revolution and State in Modern Mexico'' (Rowman & Littlefield, 2011), p. 50, ISBN 9780742554900</ref><ref>Martin, Percy in: ''Causes of the Collapse of the Brazilian Empire'', The Hispanic American Historical Review, Duke University Press, 1921, Vol. 4, No. 1, pp. 4-48</ref>.


Serikali nyingi zilitaka kushika [[mamlaka]] zote juu ya [[raia]] zake, wakati [[Papa]] na [[Askofu|maaskofu]] hawakupenda kupotewa na athira zao za muda mrefu juu ya waumini katika masuala ya kijamii.
Serikali nyingi zilitaka kushika [[mamlaka]] zote juu ya [[raia]] zake, wakati [[Papa]] na [[Askofu|maaskofu]] hawakupenda kupotewa na athira zao za muda mrefu juu ya waumini katika masuala ya kijamii.

Ushindani huo ulipata nguvu ya pekee Ujerumani baada ya nchi hiyo kuunganishwa chini ya [[Prussia]] na kutenga [[Austria]]. Hapo dola jipya lilijikuta kuwa na [[asilimia]] ya [[Waprotestanti]] kubwa kuliko awali ambapo [[Wakatoliki]] walikuwa wengiwengi. Hasa Prussia iliyoongoza dola hilo ilikuwa ya Kiprotestanti kabisa.

Mgongano ulisababisha serikali ya Prussia na ya Dola lote kutunga mfululizo sheria za kubana Kanisa Katoliki, na pia kufunga maaskofu wake.


==Tanbihi==
==Tanbihi==

Pitio la 12:16, 8 Desemba 2016

Mwenye heri Papa Pius IX (1878 hivi).
Chansela Otto von Bismarck (1875 hivi).

Kulturkampf (kwa Kijerumani "Vita vya utamaduni") ni jina la ushindani kati ya serikali za nchi kadhaa, hasa Dola la Ujerumani chini ya chansela Otto von Bismarck, na Kanisa Katoliki katika karne ya 19[1][2][3][4][5][6].

Serikali nyingi zilitaka kushika mamlaka zote juu ya raia zake, wakati Papa na maaskofu hawakupenda kupotewa na athira zao za muda mrefu juu ya waumini katika masuala ya kijamii.

Ushindani huo ulipata nguvu ya pekee Ujerumani baada ya nchi hiyo kuunganishwa chini ya Prussia na kutenga Austria. Hapo dola jipya lilijikuta kuwa na asilimia ya Waprotestanti kubwa kuliko awali ambapo Wakatoliki walikuwa wengiwengi. Hasa Prussia iliyoongoza dola hilo ilikuwa ya Kiprotestanti kabisa.

Mgongano ulisababisha serikali ya Prussia na ya Dola lote kutunga mfululizo sheria za kubana Kanisa Katoliki, na pia kufunga maaskofu wake.

Tanbihi

  1. Josef L. Altholz, "The Vatican Decrees Controversy, 1874-1875." Catholic Historical Review (1972): 593-605. in JSTOR
  2. Ramet, Sabrina in: Obstat, Nihil. Religion, Politics, and Social Change in East-Central Europe and Russia, Duke University Press, 1998, ISBN 978-0-8223-2070-8, p 107
  3. Dittrich, Lisa in: Antiklerikalismuns in Europa: Öffentlichkeit und Säkularisierung in Frankreich, Spanien und Deutschland (1848-1914), Vandenhoek & Ruprecht, Göttingen, 1914, ISBN 9783525310236
  4. Borst, William in: "The Mexican Kulturkampf. The Christeros and the Crusade for the greater Glory of God", Mindszenty Report 54#8 August 2012:
  5. Morton, Adam in: Revolution and State in Modern Mexico (Rowman & Littlefield, 2011), p. 50, ISBN 9780742554900
  6. Martin, Percy in: Causes of the Collapse of the Brazilian Empire, The Hispanic American Historical Review, Duke University Press, 1921, Vol. 4, No. 1, pp. 4-48

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kulturkampf kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.