Hipparchos wa Nikaia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|sl}} using AWB (10903)
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Hipparchos 1.jpeg|thumb|Hipparchos]]
[[Picha:Hipparchos 1.jpeg|thumb|Hipparchos]]
'''Hipparchos''' ([[Kigiriki]] Ἵππαρχος; takr. [[190 KK]] hadi takr. [[120 KK]]) alikuwa mtaalamu wa [[astronomia]], [[jiografia]] na [[hisabati]] wa [[Ugiriki ya Kale]].
'''Hipparchos''' (kwa [[Kigiriki]] Ἵππαρχος; takr. [[190 KK]] hadi takr. [[120 KK]]) alikuwa [[mtaalamu]] wa [[astronomia]], [[jiografia]] na [[hisabati]] wa [[Ugiriki ya Kale]].


Alizaliwa mjini [[Nikaia]] (leo: [[Iznik]] katika [[Uturuki]]) akafariki kwenye kisiwa cha [[Rhodos]]. Hutazamiwa kama mwanaastronomia muhimu kabisa wa nyakati za kale.
Alizaliwa mjini [[Nikaia]] (leo: [[Iznik]] katika [[Uturuki]]) akafariki kwenye [[kisiwa]] cha [[Rhodos]].


Hutazamwa kama mwanaastronomia muhimu kabisa wa nyakati za kale.
Aliorodhesha [[nyota]] 800 na kuzichora katika ramani ya anga. Aliweza kukadiria [[kupatwa kwa jua]] na kukutabiri.


Aliorodhesha [[nyota]] 800 na kuzichora katika [[ramani]] ya [[anga]]. Aliweza kukadiria na kutabiri [[kupatwa kwa jua]] .
Katika [[hisabati]] alianzisha mbinu za kijiometria kwa mfano mgawanyo wa [[duara]] kuwa na [[nyuzi]] 360.


Katika [[hisabati]] alianzisha mbinu za kijiometria, kwa mfano mgawanyo wa [[duara]] kuwa na [[nyuzi]] 360.
[[Jamii:Wanaastronomia]]

[[Jamii:wanahisabati]]
[[Jamii:Wataalamu Ugiriki ya Kale]]
[[Jamii:Wanaastronomia wa Ugiriki ya Kale]]
[[Jamii:wanahisabati wa Ugiriki ya Kale]]
[[Jamii:Wataalamu wa Ugiriki ya Kale]]

Pitio la 07:45, 16 Oktoba 2016

Faili:Hipparchos 1.jpeg
Hipparchos

Hipparchos (kwa Kigiriki Ἵππαρχος; takr. 190 KK hadi takr. 120 KK) alikuwa mtaalamu wa astronomia, jiografia na hisabati wa Ugiriki ya Kale.

Alizaliwa mjini Nikaia (leo: Iznik katika Uturuki) akafariki kwenye kisiwa cha Rhodos.

Hutazamwa kama mwanaastronomia muhimu kabisa wa nyakati za kale.

Aliorodhesha nyota 800 na kuzichora katika ramani ya anga. Aliweza kukadiria na kutabiri kupatwa kwa jua .

Katika hisabati alianzisha mbinu za kijiometria, kwa mfano mgawanyo wa duara kuwa na nyuzi 360.