Wasaksoni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d +def |
||
Mstari 24: | Mstari 24: | ||
{{mbegu}} |
{{mbegu}} |
||
{{DEFAULTSORT:Saksoni}} |
|||
[[Category:Makabila ya Kijerumani]] |
[[Category:Makabila ya Kijerumani]] |
||
[[Category:Historia ya Ujerumani]] |
[[Category:Historia ya Ujerumani]] |
Pitio la 16:01, 10 Oktoba 2016
Wasaksoni (kwa Kilatini Saxones, kwa lugha za Kijerumaniki Seaxe, Sahson, Sassen, Sachsen, Saksen, kutoka "seax", jina la kisu maalumu walichotumia) walikuwa shirikisho la makabila kadhaa ya Wagermanik wakazi wa Ujerumani Kaskazini walioenea katika sehemu za jirani.
Baadhi yao, pamoja na jirani zao Waangli, jumla watu 200,000 hivi, walivamia Britania katika karne ya 5 na baada ya hapo, wakiweka msingi wa Uingereza wa leo.
Tanbihi
Marejeo
- Thompson, James Westfall. Feudal Germany. 2 vol. New York: Frederick Ungar Publishing Co., 1928.
- Reuter, Timothy. Germany in the Early Middle Ages 800–1056. New York: Longman, 1991.
- Reuter, Timothy (trans.) The Annals of Fulda. (Manchester Medieval series, Ninth-Century Histories, Volume II.) Manchester: Manchester University Press, 1992.
- Wallace-Hadrill, J. M., translator. The Fourth Book of the Chronicle of Fredegar with its Continuations. Connecticut: Greenwood Press, 1960.
- Stenton, Sir Frank M. Anglo-Saxon England. 3rd ed. Oxford University Press, 1971.
- Bachrach, Bernard S. Merovingian Military Organisation, 481–751. Minneapolis: University of Minnesota Press, 1971.
- Goldberg, Eric J. "Popular Revolt, Dynastic Politics, and Aristocratic Factionalism in the Early Middle Ages: The Saxon Stellinga Reconsidered." Speculum, Vol. 70, No. 3. (Jul., 1995), pp 467–501.
- Hummer, Hans J. Politics and Power in Early Medieval Europe: Alsace and the Frankish Realm 600–1000. Cambridge University Press: 2005.
Viungo vya nje
- James Grout: Saxon Advent, part of the Encyclopædia Romana
- Saxons and Britons
- Info Britain: Saxon Britain
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |