Brahmagupta : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d (GR) File renamed: File:Brahmagupta.jpg → File:Hindu astronomer, 19th-century illustration.jpg File renaming criterion #3: To correct obvious errors in file names, including misspelled [[c::en:Noun#P... |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Hindu astronomer, 19th-century illustration.jpg|thumbnail|Brahmagupta]] |
[[Picha:Hindu astronomer, 19th-century illustration.jpg|thumbnail|Brahmagupta]] |
||
'''Brahmagupta''' ([[Kisanskrit]]: ब्रह्मगुप्त)) ( |
'''Brahmagupta''' ([[Kisanskrit]]: ब्रह्मगुप्त)) ([[597]]–[[668]] [[BK]]) alikuwa [[Mhindi]] [[mtaalamu]] wa [[hisabati]] na [[astronomia]] anayekumbukwa kwa [[maandishi]] yake kuhusu fani hizo mbili. |
||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
[[jamii: |
[[jamii:waliozaliwa 597]] |
||
[[Jamii:waliofariki 668]] |
|||
⚫ | |||
⚫ |
Pitio la 06:23, 18 Septemba 2016
Brahmagupta (Kisanskrit: ब्रह्मगुप्त)) (597–668 BK) alikuwa Mhindi mtaalamu wa hisabati na astronomia anayekumbukwa kwa maandishi yake kuhusu fani hizo mbili.
Alikuwa msimamizi wa kituo cha astronomia mjini Ujjain (Madhya Pradesh).
Brahmagupta alikuwa mwanahisabati wa kwanza anayejulikana kutunga sheria za kupiga hesabu kwa kutumia sifuri. Alitunga pia sheria za hesabu kwa namba hasi.
Katika fani ya astronomia alipinga mafundisho ya siku zake kuwa dunia ni tambarare akasisitiza ni tufe. Pia alipinga mafundisho kuwa mwezi uko mbali kuliko jua akaonyesha kuwa sharti mwezi uwe karibu zaidi.