Manispaa : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
manisipaa kua manispaa |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
''' |
'''Manispaa''' (ing. ''municipality'') ni [[mji]] mwenye kiwango fulani ya kujitawala katika shughuli zake. |
||
Madaraka haya ni pamoja na haki ya kutawaliwa na serikali ya kimahali iliyochaguliwa na watu wa manisipaa (badala ya kusimamiwa na mwakilishi wa serikali kuu), kuamulia na kukusanya kodi fulani katika eneo la manisipaa na kupanga makisio yake yenyewe. |
Madaraka haya ni pamoja na haki ya kutawaliwa na serikali ya kimahali iliyochaguliwa na watu wa manisipaa (badala ya kusimamiwa na mwakilishi wa serikali kuu), kuamulia na kukusanya kodi fulani katika eneo la manisipaa na kupanga makisio yake yenyewe. |
||
== |
==Manispaa za Tanzania== |
||
Nchini [[Tanzania]] |
Nchini [[Tanzania]] manispaa ni mji mwenye wakazi zaidi ya 100,000 hadi 500,000. |
||
Katika muundo wa utawala |
Katika muundo wa utawala manispaa za Tanzania zinahesabiwa kama wilaya. Serikali ya manisipaa huitwa Halmashauri ya manispaa (''Municipal Council''). |
||
Manisipaa za Tanzania ni [[Bukoba (mji)|Bukoba ]], [[Dodoma (mji)|Dodoma ]], [[Iringa (mji)|Iringa ]], [[Kigoma (mji)|Kigoma ]], [[Lindi (mji)|Lindi ]], [[Morogoro (mji)|Morogoro ]], [[Moshi (mji)|Moshi ]], [[Mtwara (mji)|Mtwara ]], [[Musoma (mji)|Musoma ]], [[Shinyanga (mji)|Shinyanga ]], [[Singida (mji)|Singida ]], [[Songea (mji)|Songea ]], [[Sumbawanga (mji)|Sumbawanga ]], [[Tabora (mji)|Tabora ]]. |
Manisipaa za Tanzania ni [[Bukoba (mji)|Bukoba ]], [[Dodoma (mji)|Dodoma ]], [[Iringa (mji)|Iringa ]], [[Kigoma (mji)|Kigoma ]], [[Lindi (mji)|Lindi ]], [[Morogoro (mji)|Morogoro ]], [[Moshi (mji)|Moshi ]], [[Mtwara (mji)|Mtwara ]], [[Musoma (mji)|Musoma ]], [[Shinyanga (mji)|Shinyanga ]], [[Singida (mji)|Singida ]], [[Songea (mji)|Songea ]], [[Sumbawanga (mji)|Sumbawanga ]], [[Tabora (mji)|Tabora ]]. |
||
Halafu kuna masisipaa tano ambazo ni sehemu ya majiji mawili. |
Halafu kuna masisipaa tano ambazo ni sehemu ya majiji mawili. |
||
*[[Jiji la Dar es Salaam]] limegawiwa kwa |
*[[Jiji la Dar es Salaam]] limegawiwa kwa manispaa (wilaya) tatu za [[Wilaya ya Kinondoni|Kinondoni]], [[Temeke]] na [[Ilala]]. |
||
*[[Jiji la Mwanza]] limegawiwa kwa |
*[[Jiji la Mwanza]] limegawiwa kwa manispaa (wilaya) za [[Nyamagana]] na [[Ilemela]] |
||
Pitio la 00:45, 11 Agosti 2016
Manispaa (ing. municipality) ni mji mwenye kiwango fulani ya kujitawala katika shughuli zake.
Madaraka haya ni pamoja na haki ya kutawaliwa na serikali ya kimahali iliyochaguliwa na watu wa manisipaa (badala ya kusimamiwa na mwakilishi wa serikali kuu), kuamulia na kukusanya kodi fulani katika eneo la manisipaa na kupanga makisio yake yenyewe.
Manispaa za Tanzania
Nchini Tanzania manispaa ni mji mwenye wakazi zaidi ya 100,000 hadi 500,000.
Katika muundo wa utawala manispaa za Tanzania zinahesabiwa kama wilaya. Serikali ya manisipaa huitwa Halmashauri ya manispaa (Municipal Council).
Manisipaa za Tanzania ni Bukoba , Dodoma , Iringa , Kigoma , Lindi , Morogoro , Moshi , Mtwara , Musoma , Shinyanga , Singida , Songea , Sumbawanga , Tabora .
Halafu kuna masisipaa tano ambazo ni sehemu ya majiji mawili.
- Jiji la Dar es Salaam limegawiwa kwa manispaa (wilaya) tatu za Kinondoni, Temeke na Ilala.
- Jiji la Mwanza limegawiwa kwa manispaa (wilaya) za Nyamagana na Ilemela