Lester B. Pearson : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d rekebisha jamii |
d rekebisha jamii |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
[[Jamii:Wanasiasa wa Kanada]] |
[[Jamii:Wanasiasa wa Kanada]] |
||
[[Jamii:Mawaziri Wakuu wa Kanada]] |
[[Jamii:Mawaziri Wakuu wa Kanada]] |
||
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya |
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Amani]] |
Pitio la 15:34, 4 Agosti 2016
Lester Bowles “Mike” Pearson (23 Aprili, 1897 – 27 Desemba, 1972) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Kanada. Anajulikana hasa kwa kutatua shida za vita kuhusu Mfereji wa Suez. Mwaka wa 1957 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani. Baadaye alikuwa Waziri mkuu wa Kanada 1963-1968.
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lester B. Pearson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |