9 Juni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 36: | Mstari 36: | ||
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/June_9 Today in Canadian History] |
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/June_9 Today in Canadian History] |
||
{{mbegu-historia}} |
{{mbegu-historia}} |
||
{{DEFAULTSORT:Juni |
{{DEFAULTSORT:Juni 09}} |
||
[[Jamii:Juni]] |
[[Jamii:Juni]] |
Pitio la 14:40, 25 Julai 2016
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 9 Juni ni siku ya 160 ya mwaka (ya 161 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 205.
Matukio
- 1534 - Jacques Cartier, Mzungu wa kwanza kufikia mto wa St. Lawrence
- 1815 - Mwisho wa Mkutano wa Vienna uliorekebisha hali ya siasa ya Ulaya
- 1856 - Wamormoni 500 wanatoka mji wa Iowa City katika jimbo la Iowa na kuelekea magharibi kwenda mji wa Salt Lake City katika jimbo la Utah wakibeba mali zao zote kwenye mikokoteni
Waliozaliwa
- 1640 - Kaisari Leopold I wa Ujerumani
- 1672 - Tsar Peter I wa Urusi
- 1843 - Bertha von Suttner, mwandishi Mwaustria, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1905
- 1875 - Henry Dale, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1936
- 1935 - Pius Msekwa, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 1940 - Abdisalam Issa Khatib, mbunge wa Tanzania
- 1963 - Johnny Depp, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1988 - Flaviana Matata, mwanamitindo kutoka Tanzania
Waliofariki
- 68 - Nero, Kaisari wa Dola la Roma, anajiua
- 373 - Mtakatifu Efrem wa Syria, mtawa, shemasi na mwalimu wa Kanisa huko Mesopotamia
- 597 - Mtakatifu Kolumba, mmonaki mmisionari nchini Uskoti
- 1870 - Charles Dickens, mwandishi Mwingereza
- 1959 - Adolf Windaus, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1928
- 1974 - Miguel Asturias, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1967
- 1987 - Elijah Masinde, mwanzilishi wa Dini ya Musambwa
- 1989 - George Beadle, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958
- 2007 - Achieng Oneko, mwanasiasa wa Kenya
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Tekla mfiadini, ya mtakatifu Efrem wa Syria, shemasi na mwalimu wa Kanisa, na ya mtakatifu Kolumba, abati
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 9 Juni kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |