8 Mei : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
* [[1925]] - [[Ali Hassan Mwinyi]], Rais wa pili wa [[Tanzania]] |
* [[1925]] - [[Ali Hassan Mwinyi]], Rais wa pili wa [[Tanzania]] |
||
* [[1945]] - [[Keith Jarrett]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]] |
* [[1945]] - [[Keith Jarrett]], [[mwanamuziki]] kutoka [[Marekani]] |
||
* [[1947]] - [[Robert Horvitz], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[2002]] |
|||
* [[1954]] - [[John Michael Talbot]], [[mwimbaji]] [[Mkristo]] kutoka [[Marekani]] |
* [[1954]] - [[John Michael Talbot]], [[mwimbaji]] [[Mkristo]] kutoka [[Marekani]] |
||
* [[1975]] - [[Enrique Iglesias]], mwimbaji kutoka [[Hispania]] |
* [[1975]] - [[Enrique Iglesias]], mwimbaji kutoka [[Hispania]] |
Pitio la 12:20, 10 Julai 2016
Apr - Mei - Jun | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 8 Mei ni siku ya 128 ya mwaka (ya 129 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 237.
Matukio
- 1721 - Uchaguzi wa Papa Inosenti XIII
- 1945 - Mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia katika Ulaya: jeshi la Ujerumani linasalimu amri
Waliozaliwa
- 1828 - Henri Dunant, mwanzilishi wa Chama cha Kimataifa cha Msalaba Mwekundu, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1901
- 1884 - Harry S. Truman, Rais wa Marekani (1945-1953)
- 1902 - André Lwoff, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1965
- 1925 - Ali Hassan Mwinyi, Rais wa pili wa Tanzania
- 1945 - Keith Jarrett, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1947 - [[Robert Horvitz], mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2002
- 1954 - John Michael Talbot, mwimbaji Mkristo kutoka Marekani
- 1975 - Enrique Iglesias, mwimbaji kutoka Hispania
- 1975 - Mohamed Gulam Dewji, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 1978 - Baraka Makaba, mtayarishaji wa filamu kutoka Tanzania
Waliofariki
- 535 - Papa Yohane II
- 685 - Mtakatifu Papa Benedikto II
- 2007 - Abdullah_bin_Faisal_Al_Saud, mwana wa Mfalme wa Saudia
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Arsenio Mkuu, mmonaki, ya mtakatifu Papa Bonifas IV, ya mtakatifu Papa Benedikto II na ya mtakatifu Amato Ronconi
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 8 Mei kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |