Joseph Pulitzer : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: lt:Jozefas Pulitzeris |
d robot Adding: sk:Joseph Pulitzer |
||
Mstari 32: | Mstari 32: | ||
[[ru:Пулитцер, Джозеф]] |
[[ru:Пулитцер, Джозеф]] |
||
[[simple:Joseph Pulitzer]] |
[[simple:Joseph Pulitzer]] |
||
[[sk:Joseph Pulitzer]] |
|||
[[sl:Joseph Pulitzer]] |
[[sl:Joseph Pulitzer]] |
||
[[sr:Џозеф Пулицер]] |
[[sr:Џозеф Пулицер]] |
Pitio la 16:53, 10 Desemba 2007
Joseph Pulitzer (10 Aprili, 1847 – 29 Oktoba, 1911) alikuwa mhariri wa magazeti kutoka nchi ya Marekani; lakini alizaliwa nchi ya Hungaria. Alinunua magazeti mbalimbali na kusimamia uhariri wao. Katika hati ya wasia yake alisaidia kuanzisha Idara ya Uandikaji Habari ndani ya Chuo Kikuu cha Columbia iliyofunguliwa mwaka wa 1912. Tangu 1917, chuo hicho kimetoa Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya maandishi hodari.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |