Utawala : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
UTAWALA |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Utawala''' ni [[mamlaka]] na [[haki]] ya kuongoza. Ni jambo lisiloepukika katika [[maisha]] ya pamoja ya [[binadamu]]. |
|||
utawala ni |
|||
Utawala umejitokeza kwa namna nyingi katika ngazi mbalimbali katika [[historia]] ya [[dunia]]. |
|||
Wengi wanakubali kwamba utawala ni hasa sifa ya [[Mungu]] katika [[maongozi ya Mungu|maongozi]] yake ya [[ulimwengu]] [[Uumbaji|aliouumba]]. |
|||
{{mbegu}} |
|||
[[Jamii:Elimu jamii]] |
|||
[[Jamii:Sheria]] |
|||
[[Jamii:Dini]] |
Pitio la 14:00, 29 Mei 2016
Utawala ni mamlaka na haki ya kuongoza. Ni jambo lisiloepukika katika maisha ya pamoja ya binadamu.
Utawala umejitokeza kwa namna nyingi katika ngazi mbalimbali katika historia ya dunia.
Wengi wanakubali kwamba utawala ni hasa sifa ya Mungu katika maongozi yake ya ulimwengu aliouumba.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |