2 Mei : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 17: | Mstari 17: | ||
==Sikukuu== |
==Sikukuu== |
||
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] ya [[mtakatifu]] [[Jermano Mskoti]], na ya mtakatifu [[Walbert]], [[abati]] |
[[Wakristo]] wengi, wakifuata [[mapokeo ya Roma]], huadhimisha [[kumbukumbu]] ya [[mtakatifu]] [[Atanasi wa Aleksandria]], [[askofu]] na [[mwalimu wa Kanisa]], ya [[mtakatifu]] [[Jermano Mskoti]], na ya mtakatifu [[Walbert]], [[abati]] |
||
==Viungo vya nje== |
==Viungo vya nje== |
Pitio la 14:29, 22 Mei 2016
Apr - Mei - Jun | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Tarehe 2 Mei ni siku ya 122 ya mwaka (ya 123 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 243.
Matukio
- 1687 - Reigen, Mfalme Mkuu wa Japani, anajiuzulu kwa ajili ya mwana wake Higashiyama
Waliozaliwa
- 1803 - Albert Küchler, mchoraji kutoka Denmark
- 1991 - Jung Jin-woon, mwanamuziki kutoka Korea Kusini
Waliofariki
- 373 - Mtakatifu Atanasi wa Aleksandria, patriarki Mkatoliki na mwalimu wa Kanisa nchini Misri
- 1519 - Leonardo da Vinci, mchoraji na mwanasayansi kutoka Italia
- 1979 - Giulio Natta, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1963
- 1997 - John Eccles, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 2011 - Osama bin Laden, mwanzilishi na kiongozi wa kundi la kigaidi la Al Qaida
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya mtakatifu Atanasi wa Aleksandria, askofu na mwalimu wa Kanisa, ya mtakatifu Jermano Mskoti, na ya mtakatifu Walbert, abati
Viungo vya nje
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 2 Mei kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |