Hans Bethe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: hi:हांस अल्ब्रेक्त बेटू |
d robot Adding: bn:হান্স বেটে |
||
Mstari 14: | Mstari 14: | ||
[[bg:Ханс Бете]] |
[[bg:Ханс Бете]] |
||
[[bn:হান্স বেটে]] |
|||
[[ca:Hans Bethe]] |
[[ca:Hans Bethe]] |
||
[[cs:Hans Bethe]] |
[[cs:Hans Bethe]] |
Pitio la 01:31, 9 Desemba 2007
Hans Albrecht Bethe (2 Julai, 1906 – 6 Machi, 2005) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Alizaliwa katika mji wa Strasbourg. Mwaka wa 1933 alihamia Marekani. Hasa alichunguza nadharia ya atomu. Mwaka wa 1967 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |