Usafiri : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 23: Mstari 23:
Usafiri wa hewani hutumia [[ndege (uanahewa)|ndege]], [[helikopta]] au [[ndegeputo]]
Usafiri wa hewani hutumia [[ndege (uanahewa)|ndege]], [[helikopta]] au [[ndegeputo]]


==FAIDA ZA USAFILI==.
*Husaidia katika kufikisha haraka vyakula au matunda yanayooza mapema.
*Husaidia kufikisha haraka habari zilizo kwenye majalida n.k
*huwezesha mahusiano kati ya nchi na nchi.
*Husaidia biashara za masafa marefu kuendelea.
*Pia husaidia katika maendeleo ya nchi (kimapato)
[[Jamii:Usafiri|*]]
[[Jamii:Usafiri|*]]

Pitio la 13:43, 16 Aprili 2016

Treni ya Shinkansen nchini Japani
Feri kwenye bandari ya Dar es Salaam
Ndege ya Boeing 747-300

Usafiri ni uhamisho wa watu au vitu na bidhaa kutoka mahali pamoja kwenda mahali pengine.

Usafiri unakuja pamoja na muundombinu kama njia za usafiri, vyombo vya usafiri na wahusika wake kama makampuni, shirika na abiria.

Njia za Usafiri

Njia za usafiri hutofautishwa kufuatana na aina yake kama ni

Vyombo vya usafiri

Vyombo vya usafiri hulingana na njia zinazotumia.

Usafiri wa nchini hutumia motokaa, treni, baisikeli au pikipiki.

Usafiri wa majini hutumia meli, boti, jahazi na mengine

Usafiri wa hewani hutumia ndege, helikopta au ndegeputo

==FAIDA ZA USAFILI==.

  • Husaidia katika kufikisha haraka vyakula au matunda yanayooza mapema.
  • Husaidia kufikisha haraka habari zilizo kwenye majalida n.k
  • huwezesha mahusiano kati ya nchi na nchi.
  • Husaidia biashara za masafa marefu kuendelea.
  • Pia husaidia katika maendeleo ya nchi (kimapato)