Usafiri : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 23: | Mstari 23: | ||
Usafiri wa hewani hutumia [[ndege (uanahewa)|ndege]], [[helikopta]] au [[ndegeputo]] |
Usafiri wa hewani hutumia [[ndege (uanahewa)|ndege]], [[helikopta]] au [[ndegeputo]] |
||
==FAIDA ZA USAFILI==. |
|||
*Husaidia katika kufikisha haraka vyakula au matunda yanayooza mapema. |
|||
*Husaidia kufikisha haraka habari zilizo kwenye majalida n.k |
|||
*huwezesha mahusiano kati ya nchi na nchi. |
|||
*Husaidia biashara za masafa marefu kuendelea. |
|||
*Pia husaidia katika maendeleo ya nchi (kimapato) |
|||
[[Jamii:Usafiri|*]] |
[[Jamii:Usafiri|*]] |
Pitio la 13:43, 16 Aprili 2016
Usafiri ni uhamisho wa watu au vitu na bidhaa kutoka mahali pamoja kwenda mahali pengine.
Usafiri unakuja pamoja na muundombinu kama njia za usafiri, vyombo vya usafiri na wahusika wake kama makampuni, shirika na abiria.
Njia za Usafiri
Njia za usafiri hutofautishwa kufuatana na aina yake kama ni
- usafiri wa nchini kwa kutumia barabara au reli
- usafiri wa majini kwa kutumia bahari, maziwa, mito na mifereji
- usafiri wa hewani kwa kutumia vyomboanga na viwanja vya ndege
- Usafili wa mabomba ambayo husafilisha( maji,gesi na Mafuta.)
Vyombo vya usafiri
Vyombo vya usafiri hulingana na njia zinazotumia.
Usafiri wa nchini hutumia motokaa, treni, baisikeli au pikipiki.
Usafiri wa majini hutumia meli, boti, jahazi na mengine
Usafiri wa hewani hutumia ndege, helikopta au ndegeputo
==FAIDA ZA USAFILI==.
- Husaidia katika kufikisha haraka vyakula au matunda yanayooza mapema.
- Husaidia kufikisha haraka habari zilizo kwenye majalida n.k
- huwezesha mahusiano kati ya nchi na nchi.
- Husaidia biashara za masafa marefu kuendelea.
- Pia husaidia katika maendeleo ya nchi (kimapato)