9 Novemba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 22: | Mstari 22: | ||
* [[2011]] - [[Har Khorana]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1968]] |
* [[2011]] - [[Har Khorana]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Tiba]] mwaka wa [[1968]] |
||
==Viungo vya nje== |
|||
{{commons|Novemba 9}} |
|||
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/novemba/9 BBC: On This Day] |
|||
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/novemba_9 Today in Canadian History] |
|||
{{DEFAULTSORT:Novemba 9}} |
|||
[[Jamii:Novemba]] |
[[Jamii:Novemba]] |
Pitio la 12:45, 16 Aprili 2016
Okt - Novemba - Des | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
- 694 - Mfalme Egica, mfalme wa WaVisigoth wa Hispania, anawashtaki Wayahudi kuwasaidia Waislamu, na anawaadhibu kuwa watumwa.
- 1282 - Papa Martin IV anamtenga Mfalme Peter III wa Aragon na kanisa.
- 1494 - Akina de Medici wanaanza kuwa watawala wa mji wa Florence.
- 1799 - Napoleon Bonaparte anapindua serikali ya Ufaransa.
- 1848 - Robert Blum anauawa katika mji wa Vienna.
- 1872 - Moto unateketeza sehemu kubwa ya mji wa Boston.
- 1918 - Mfalme Mkuu Wilhelm II wa Ujerumani anajiuzulu, na Ujerumani unatangazwa kuwa jamhuri.
- 1938 - Usiku wa Chembechembe (kwa Kijerumani: Reichskristallnacht), ambapo WaNazi wanatumia nguvu na vurugu dhidi ya Wayahudi.
- 1989 - Nchi ya Ujerumani wa Mashariki inafungulia Ukuta wa Berlin na kuwaruhusu wananchi wake kusafiri bila shida kwenda Ujerumani wa Magharibi.
Waliozaliwa
- 1897 - Ronald Norrish, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1967
- 1929 - Imre Kertesz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 2002)
- 1971 - Big Pun, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1988 - Cali Sweets, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
- 1952 - Chaim Weizmann
- 1982 - Shaykh 'Abdullaah Swaalih Al-Farsy, mwanahistoria kutoka Zanzibar
- 2011 - Har Khorana, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1968