28 Juni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 25: | Mstari 25: | ||
* [[2009]] - [[Billy Mays]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Marekani]] |
* [[2009]] - [[Billy Mays]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Marekani]] |
||
==Viungo vya nje== |
|||
{{commons|Juni 28}} |
|||
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/Juni/28 BBC: On This Day] |
|||
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/Juni_28 Today in Canadian History] |
|||
{{DEFAULTSORT:Juni 28}} |
|||
[[Jamii:Juni]] |
[[Jamii:Juni]] |
Pitio la 14:21, 9 Aprili 2016
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Kufuatana na mapokeo ya Kanisa Katoliki, tarehe 28 Juni ni sikukuu ya Mtakatifu Ireneo, Askofu wa Lyon
Matukio
- 1243 - Uchaguzi wa Papa Inosenti IV
- 1914 - Kaisari-mteule Ferdinand wa Austria kuuawa mjini Sarajevo - kusababisha Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia
- 1919 - Mkataba wa Versailles kusainiwa - mwisho wa Vita Kuu ya Kwanza kati ya Ujerumani na washindi
Waliozaliwa
- 1476 - Papa Paulo IV
- 1577 - Peter Paul Rubens, mchoraji kutoka Uholanzi
- 1712 - Jean-Jacques Rousseau, mwanafalsafa kutoka Ufaransa
- 1867 - Luigi Pirandello, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1934)
- 1873 - Alexis Carrel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1912)
- 1906 - Maria Goeppert-Mayer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1963)
- 1927 - Sherwood Rowland, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1995)
- 1943 - Klaus von Klitzing, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1985)
Waliofariki
- 683 - Mtakatifu Papa Leo II
- 767 - Mtakatifu Papa Paulo I
- 1836 - James Madison, Rais wa Marekani (1809-1817)
- 2005 - Geoffrey William Griffin, mkurugenzi mwanzilishi wa Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe, Kenya
- 2009 - Billy Mays, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani