3 Oktoba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 14: | Mstari 14: | ||
==Viungo vya nje== |
==Viungo vya nje== |
||
{{commons| |
{{commons|0ktoba 3}} |
||
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/oktoba/3 BBC: On This Day] |
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/oktoba/3 BBC: On This Day] |
||
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/oktoba_3 Today in Canadian History] |
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/oktoba_3 Today in Canadian History] |
||
{{DEFAULTSORT: |
{{DEFAULTSORT:oktoba 03}} |
||
[[Jamii:Oktoba]] |
[[Jamii:Oktoba]] |
Pitio la 14:12, 9 Aprili 2016
Sep - Oktoba - Nov | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
- 1932 - Nchi ya Iraq inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 1990 - Ujerumani imeunganika tena kuwa nchi moja. Mikoa yote ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani inajiunga na Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani.
Waliozaliwa
- 1458 - Kasimir Mtakatifu, mwana mfalme wa Poland
- 1904 - Charles Pedersen, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1987
- 1947 - Feetham Filipo Banyikwa, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki
- 1226 - Fransisko wa Asizi, shemasi, mwanzilishi wa Ndugu Wadogo
- 1929 - Gustav Stresemann, mwanasiasa Mjerumani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1926