22 Julai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 6: | Mstari 6: | ||
== Waliozaliwa == |
== Waliozaliwa == |
||
*[[1515]] - [[Mtakatifu]] [[Filipo Neri]], [[padri]] wa [[Italia]] |
|||
* [[1647]] - Mtakatifu [[Margareta Maria Alacoque]], mtawa wa kike kutoka [[Ufaransa]] |
* [[1647]] - Mtakatifu [[Margareta Maria Alacoque]], mtawa wa kike kutoka [[Ufaransa]] |
||
* [[1831]] - [[Komei]], Mfalme Mkuu wa 121 wa [[Japani]] (1846-1867) |
* [[1831]] - [[Komei]], Mfalme Mkuu wa 121 wa [[Japani]] (1846-1867) |
Pitio la 16:48, 20 Machi 2016
Jun - Julai - Ago | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Wanahisabati kadhaa duniani husheherekea sikukuu ya Π (tamka: pi) kwa sababu tarehe hii inaweza kuandikwa pia kama 22/7 ambayo ni chamkano cha karibu na namba Π.
Matukio
Waliozaliwa
- 1515 - Mtakatifu Filipo Neri, padri wa Italia
- 1647 - Mtakatifu Margareta Maria Alacoque, mtawa wa kike kutoka Ufaransa
- 1831 - Komei, Mfalme Mkuu wa 121 wa Japani (1846-1867)
- 1887 - Gustav Hertz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1925)
- 1888 - Selman Waksman (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1952)
- 1899 - Sobhuza II, mfalme wa Uswazi
- 1964 - David Spade, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1966 - Erick Keter, mwanariadha kutoka Kenya
- 1973 - Rufus Wainwright, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1974 - Franka Potente, mwigizaji filamu kutoka Ujerumani
- 1992 - Selena Gomez, mwigizaji filamu kutoka Marekani
Waliofariki
- 1676 - Papa Klementi X
- 1908 - Randal Cremer (kiongozi Mwingereza wa chama cha wafanyakazi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1903)
- 1967 - Carl Sandburg, mwandishi na mwanahistoria kutoka Marekani
- 1996 - Vermont Royster, mwandishi wa habari kutoka Marekani
- 2003 - Wahome Mutahi, mwandishi kutoka Kenya