Krete : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 2: Mstari 2:
'''Krete''' (kwa [[Kigiriki]] Κρήτη, ''Kríti'', matamshi ya kale, ''Krḗtē'') ni [[kisiwa]] kikuu na chenye watu wengi zaidi cha [[Ugiriki]], na ni cha tano katika [[Bahari ya Kati]], baada ya [[Sicily]], [[Sardinia]], [[Cyprus]] na [[Corsica]].
'''Krete''' (kwa [[Kigiriki]] Κρήτη, ''Kríti'', matamshi ya kale, ''Krḗtē'') ni [[kisiwa]] kikuu na chenye watu wengi zaidi cha [[Ugiriki]], na ni cha tano katika [[Bahari ya Kati]], baada ya [[Sicily]], [[Sardinia]], [[Cyprus]] na [[Corsica]].


Pamoja na visiwa vya jirani kinaunda [[mkoa wa Krete]] (Περιφέρεια Κρήτης), mmoja kati ya 13 ya nchi nzima. [[Mwaka]] [[2011]], mkoa huo ulikuwa na wakazi 623,065.
Pamoja na visiwa vya jirani vya [[bahari ya Aegean]] kinaunda [[mkoa wa Krete]] (Περιφέρεια Κρήτης), mmoja kati ya 13 ya nchi nzima. [[Mwaka]] [[2011]], mkoa huo ulikuwa na wakazi 623,065.


[[Mji mkuu]] na [[mji]] mkubwa ni [[Heraklion]].
[[Mji mkuu]] na [[mji]] mkubwa ni [[Heraklion]].
Mstari 13: Mstari 13:
Inatajwa na [[Biblia]] pamoja na tabia za wakazi wake.
Inatajwa na [[Biblia]] pamoja na tabia za wakazi wake.


Katika [[miaka ya 60]] [[Mtume Paolo]] alimuacha huko [[askofu]] [[Tito]] ili aweke [[wakfu]] [[padri|mapadri]] katika kila mji. Halafu alimuandikia [[Waraka kwa Tito|barua maarufu]].
Katika [[miaka ya 60]] [[Mtume Paulo]] alimuacha huko [[askofu]] [[Tito]] ili aweke [[wakfu]] [[padri|mapadri]] katika kila mji. Halafu alimuandikia [[Waraka kwa Tito|barua maarufu]].


==Tanbihi==
==Tanbihi==

Pitio la 13:57, 21 Februari 2016

Bandari ya Heraklion.

Krete (kwa Kigiriki Κρήτη, Kríti, matamshi ya kale, Krḗtē) ni kisiwa kikuu na chenye watu wengi zaidi cha Ugiriki, na ni cha tano katika Bahari ya Kati, baada ya Sicily, Sardinia, Cyprus na Corsica.

Pamoja na visiwa vya jirani vya bahari ya Aegean kinaunda mkoa wa Krete (Περιφέρεια Κρήτης), mmoja kati ya 13 ya nchi nzima. Mwaka 2011, mkoa huo ulikuwa na wakazi 623,065.

Mji mkuu na mji mkubwa ni Heraklion.

Krete ni sehemu muhimu ya ustaarabu na uchumi wa Ugiriki ukidumisha upekee wake katika utamaduni (kwa mfano upande wa ushairi na muziki).

Historia

Zamani (27001420 KK hivi) Krete ilikuwa kiini cha ustaarabu wa Minoa, wa kwanza kustawi huko Ulaya.[1]

Inatajwa na Biblia pamoja na tabia za wakazi wake.

Katika miaka ya 60 Mtume Paulo alimuacha huko askofu Tito ili aweke wakfu mapadri katika kila mji. Halafu alimuandikia barua maarufu.

Tanbihi

  1. Ancient Crete Oxford Bibliographies Online: Classics

Vyanzo

  • Panagiotakis, Nikolaos M. (1987). "Εισαγωγικό Σημείωμα ("Introduction")". In Panagiotakis, Nikolaos M. Crete, History and Civilization (in Greek) I. Vikelea Library, Association of Regional Associations of Regional Municipalities. pp. XI–XX. 

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ugiriki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Krete kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.