Muziki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 197.250.195.6 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na 41.222.177.178 |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
'''Muziki''' ni aina ya [[sanaa]] inayotumia |
'''Muziki''' ni aina ya [[sanaa]] inayotumia [[sauti]] mbalimbali. |
||
[[Asili]] ya [[neno]] iko katika [[lugha]] ya [[Kigiriki]] ambamo huitwa ''μουσική'' (''mousikee''). Muziki hutumia sauti za [[kibinadamu]] na [[ala za muziki]] ama kwa pamoja au kila moja pekee. |
|||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
⚫ | |||
== Viungo vya Nje == |
== Viungo vya Nje == |
||
{{lango|Muziki}} |
{{lango|Muziki}} |
||
Mstari 9: | Mstari 12: | ||
[[Jamii:Muziki|*]] |
[[Jamii:Muziki|*]] |
||
Muziki Ulianza Mnamo Mwaka 500BC katika bala la Afrika, Muziki Uligundulika Aridhini Na Mtu Aliyefahamika Kwa Jina La Phaitogorathy |
Pitio la 10:19, 17 Februari 2016
Muziki ni aina ya sanaa inayotumia sauti mbalimbali.
Asili ya neno iko katika lugha ya Kigiriki ambamo huitwa μουσική (mousikee). Muziki hutumia sauti za kibinadamu na ala za muziki ama kwa pamoja au kila moja pekee.
Baadhi ya sifa za muziki ni uzito wa sauti (pitch) na wizani au mahadhi (rhythm).
Aina ya muziki inayopatikana kote duniani ni nyimbo ambazo ni maneno yanayotolewa kwa sauti na mahadhi fulani mara nyingi pamoja na ala za muziki.
Viungo vya Nje
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Muziki kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |