Mnavu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Solanum americanum
Nyongeza matini
Mstari 15: Mstari 15:
| bingwa_wa_spishi = [[Carolus Linnaeus|L.]]
| bingwa_wa_spishi = [[Carolus Linnaeus|L.]]
}}
}}
'''Mnavu''' au '''mnafu''' (''Solanum nigrum'') ni [[mmea]] katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Solanaceae]]. Kwa kawaida huu ni mmea wa pori, lakini unapandwa mahali pengi katika [[Afrika ya Mashariki]]. Mingi ya mimea ya pori ina [[sumu]], [[tunda|matunda]] mabichi hasa. Kula kwa [[beri]] bichi na mara nyingi [[jani|majani]] pia kunaweza kusababisha kifo cha [[mtoto|watoto]] na [[ufugaji|mifugo]]. Lakini aina za mnavu zinazopandwa zinaweza kuliwa baada ya kuzipika. Matunda mabivu yanaweza kuliwa kwa kawaida bila kupikwa, aina zenye matunda mekundu au yenye rangi ya machungwa hasa (rangi ya kawaida ni nyeusi).
'''Mnavu''' au '''mnafu''' (''Solanum nigrum'') ni [[mmea]] katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Solanaceae]]. Kwa kawaida huu ni mmea wa pori, lakini unapandwa mahali pengi katika [[Afrika ya Mashariki]]. Mingi ya mimea ya pori ina [[sumu]], [[tunda|matunda]] mabichi hasa. Kula kwa [[beri]] bichi na mara nyingi [[jani|majani]] pia kunaweza kusababisha kifo cha [[mtoto|watoto]] na [[ufugaji|mifugo]]. Lakini aina za mnavu zinazopandwa zinaweza kuliwa baada ya kuzipika. [[Jani|Majani]] huuzwa kwa jina la [[manavu]]. Matunda mabivu yanaweza kuliwa kwa kawaida bila kupikwa, aina zenye matunda mekundu au yenye rangi ya machungwa hasa (rangi ya kawaida ni nyeusi).


Kuna [[spishi]] nyingine, ''Solanum americanum'', ambayo imewasilishwa katika [[Afrika]] na ambayo inafanana sana na ''S. nigrum''. Watu wengi hawawezi kulinganua spishi hizi na mbili zote huitwa mnavu. Hata ''S. americanum'' hulika.
Kuna [[spishi]] nyingine, ''Solanum americanum'', ambayo imewasilishwa katika [[Afrika]] na ambayo inafanana sana na ''S. nigrum''. Watu wengi hawawezi kulinganua spishi hizi na mbili zote huitwa mnavu. Hata ''S. americanum'' hulika.

Pitio la 15:26, 14 Februari 2016

Mnavu
(Solanum nigrum)
Mnavu
Mnavu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Asterids (Mimea kama alizeti)
Oda: Solanales (Mimea kama mnavu)
Familia: Solanaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mnavu)
Jenasi: Solanum
Spishi: S. nigrum
L.

Mnavu au mnafu (Solanum nigrum) ni mmea katika familia Solanaceae. Kwa kawaida huu ni mmea wa pori, lakini unapandwa mahali pengi katika Afrika ya Mashariki. Mingi ya mimea ya pori ina sumu, matunda mabichi hasa. Kula kwa beri bichi na mara nyingi majani pia kunaweza kusababisha kifo cha watoto na mifugo. Lakini aina za mnavu zinazopandwa zinaweza kuliwa baada ya kuzipika. Majani huuzwa kwa jina la manavu. Matunda mabivu yanaweza kuliwa kwa kawaida bila kupikwa, aina zenye matunda mekundu au yenye rangi ya machungwa hasa (rangi ya kawaida ni nyeusi).

Kuna spishi nyingine, Solanum americanum, ambayo imewasilishwa katika Afrika na ambayo inafanana sana na S. nigrum. Watu wengi hawawezi kulinganua spishi hizi na mbili zote huitwa mnavu. Hata S. americanum hulika.

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mnavu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.