Mtawa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{multiple image|caption_align=center|header_align=center|perrow=3
| header = Watawa
| width = 140
| image1 = On The Streets of Vilnius (5984257911).jpg
| image2 = Taiwanese Buddhist Nun Black Robes.jpeg
| image3 = Louise Marie Thérèse (The Black Nun of Moret).jpg
| image4 = Pakistani Nun.JPG
| image5 = Nuns clamming - Toni Frissell LC-F9-04-5709-012-17.jpg
| footer = Watawa wa kike wa dini mbalimbali katika sehemu tofauti za [[dunia]].
}}
'''Mtawa''' ni [[mtu]] anayejitenga na [[ulimwengu]] ili kuishi [[maisha]] [[Maadili|maadilifu]].
'''Mtawa''' ni [[mtu]] anayejitenga na [[ulimwengu]] ili kuishi [[maisha]] [[Maadili|maadilifu]].



Pitio la 15:57, 30 Januari 2016

Watawa
Watawa wa kike wa dini mbalimbali katika sehemu tofauti za dunia.

Mtawa ni mtu anayejitenga na ulimwengu ili kuishi maisha maadilifu.

Katika dini mbalimbali, mfano mmojawapo wa utawa ni ule wa wamonaki. Lakini katika Ukristo, hasa wa Magharibi historia ya Utawa ilitokeza aina nyingine mbalimbali.

Katika Kanisa Katoliki, ni mwamini yeyote aliyejiweka wakfu kwa Mungu hasa kwa kushika useja mtakatifu, lakini kwa kawaida pia ufukara na utiifu.

Mara nyingi watawa wanaunda mashirika yenye karama moja inayofafanuliwa na kuratibiwa katika kanuni na katiba maalumu.

Mtawa anaweza kuwa mwanamume au mwanamke, mwenye daraja takatifu au la.

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.