1929 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 23: | Mstari 23: | ||
* [[2 Novemba]] - [[Richard Taylor]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]], mwaka wa [[1990]]) |
* [[2 Novemba]] - [[Richard Taylor]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]], mwaka wa [[1990]]) |
||
* [[9 Novemba]] - [[Imre Kertesz]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[2002]]) |
* [[9 Novemba]] - [[Imre Kertesz]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[2002]]) |
||
* [[13 Desemba]] - [[Christopher Plummer]], mwigizaji wa filamu kutoka [[Kanada]] |
|||
== Waliofariki == |
== Waliofariki == |
Pitio la 19:27, 5 Januari 2016
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| ►
◄◄ |
◄ |
1925 |
1926 |
1927 |
1928 |
1929
| 1930
| 1931
| 1932
| 1933
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1929 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 11 Februari - Mkataba wa Lateran kati ya serikali ya Italia na Papa kuhusu mamlaka juu ya Mji wa Vatikani
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 15 Januari - Martin Luther King, Jr., mchungaji na mwanaharakati kutoka Marekani
- 23 Januari - John Polanyi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1986
- 31 Januari - Rudolf Moessbauer (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1961)
- 7 Machi - Dan Jacobson, mwandishi wa Afrika Kusini
- 8 Machi - Hebe Camargo, mwimbaji wa Brazil
- 5 Aprili - Ivar Giaever (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1973)
- 4 Mei - Ronald Golias, mwigizaji wa filamu kutoka Brazil
- 3 Juni - Werner Arber (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1978)
- 1 Julai - Gerald Edelman (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1972)
- 14 Agosti - Matthias Joseph Isuja, askofu mstaafu wa Jimbo Katoliki la Dodoma, Tanzania
- 15 Septemba - Murray Gell-Mann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1969)
- 31 Oktoba - Bud Spencer, mwigizaji filamu kutoka Italia
- 2 Novemba - Richard Taylor (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1990)
- 9 Novemba - Imre Kertesz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 2002)
- 13 Desemba - Christopher Plummer, mwigizaji wa filamu kutoka Kanada
Waliofariki
- 4 Aprili - Karl Friedrich Benz (mhandisi Mjerumani na mtengenezaji motokaa)
- 23 Septemba - Richard Zsigmondy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1925)
- 3 Oktoba - Gustav Stresemann (mwanasiasa Mjerumani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1926)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: