26 Juni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 146 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q2661 (translate me) |
|||
Mstari 6: | Mstari 6: | ||
== Waliozaliwa == |
== Waliozaliwa == |
||
* [[1581]] - Mtakatifu [[Petro Claver]], padri mmisionari kutoka [[Hispania]] |
|||
* [[1892]] - [[Pearl S. Buck]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1938]]) |
* [[1892]] - [[Pearl S. Buck]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka wa [[1938]]) |
||
* [[1937]] - [[Robert Richardson]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1996]] |
* [[1937]] - [[Robert Richardson]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1996]] |
Pitio la 12:22, 17 Desemba 2015
Mei - Juni - Jul | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
- 1945 - Umoja wa Mataifa unaanzishwa mjini San Francisco na kuchukua nafasi ya Shirikisho la Mataifa.
- 1960 - Kisiwa cha Madagaska kinapata uhuru kutoka Ufaransa.
- 1960 - Somalia ya Kiingereza inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa
- 1581 - Mtakatifu Petro Claver, padri mmisionari kutoka Hispania
- 1892 - Pearl S. Buck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1938)
- 1937 - Robert Richardson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1996
- 1941 - Omar Ali Juma, mwanasiasa kutoka Zanzibar
- 1942 - Gilberto Gil, mwanamuziki na Waziri wa Utamaduni wa Brazil
- 1966 - Adam Kighoma Malima, mbunge wa Tanzania
- 1987 - Samir Nasri, mchezaji mpira kutoka Ufaransa
Waliofariki
- 1541 - Francisco Pizarro aliyevamia Peru na kuharibu Dola la Inka anauawa mjini Lima.
- 1943 - Karl Landsteiner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1930)
- 1975 - Josemaría Escrivá
- 2007 - Amina Chifupa (Mbunge wa kiti maalum mwaka 2005 )