Baraza la mawaziri Tanzania 2015 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 145: | Mstari 145: | ||
<references/> |
<references/> |
||
==Tazama pia== |
|||
[[Wizara za Serikali ya Tanzania]] |
|||
[[Category:Siasa ya Tanzania]] |
[[Category:Siasa ya Tanzania]] |
Pitio la 19:36, 11 Desemba 2015
Baraza la Mawaziri la Tanzania ni ngazi ya juu ya serikali au mkono wa utendaji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mfumo ya mgawanyo wa madaraka.
Baraza hili linafanywa na rais, makamu wa rais, rais wa Zanzibar, waziri mkuu na mawaziri wote. [1] Manaibu mawaziri si sehemu ya baraza. Mwanasheria Mkuu anashiriki katika mikutano ya baraza bila haki ya kupiga kura.
Mikutano ya baraza inaongozwa na Rais kama mwenyekiti, kama hayupo na Makamu wa Rais na kama wote wawili hawapo na Waziri Mkuu.[2]
Serikali iliyopo ilitangazwa na John Magufuli, rais wa tano wa Tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 mnamo tarehe 10 Desemba 2015.
Chama anakotoka | Chama Cha Mapinduzi |
---|
Marejeo
- ↑ "Cabinet of Tanzania". tanzania.go.tz. May 2012. Iliwekwa mnamo May 2012. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ Katiba ya Tanzania, fungu 54
- ↑ "Baraza la Mawaziri". Ikulu. 10 December 2015. Iliwekwa mnamo 11 December 2015. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ "Magufuli releases long awaited cabinet", 10 December 2015.
- ↑ Chama Cha Mapinduzi [@ccm_tanzania] (10 December 2015). "Rais Magufuli atangaza Baraza la Mawaziri" (Tweet) (kwa Swahili). Iliwekwa mnamo 10 December 2015 – kutoka Twitter. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)
Tazama pia
Wizara za Serikali ya Tanzania