23 Septemba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
* [[1901]] - [[Jaroslav Seifert]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]], mwaka wa [[1984]]) |
* [[1901]] - [[Jaroslav Seifert]] (mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]], mwaka wa [[1984]]) |
||
* [[1915]] - [[Clifford Shull]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1994]] |
* [[1915]] - [[Clifford Shull]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1994]] |
||
* [[1926]] - [[John Coltrane]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]] |
|||
* [[1949]] - [[Bruce Springsteen]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]] |
* [[1949]] - [[Bruce Springsteen]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]] |
||
* [[1972]] - [[Jermaine Dupri]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]] |
* [[1972]] - [[Jermaine Dupri]], mwanamuziki kutoka [[Marekani]] |
Pitio la 19:56, 4 Desemba 2015
Ago - Septemba - Okt | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
23 Septemba kwa kawaida ama ni sikusare otomnia ya kaskazini au siku ya kwanza baada ya sikusare hiyo. Katika nusutufe ya kaskazini ya dunia mchana huanza kuwa mfupi na muda wa usiku kuwa mrefu zaidi kuliko mchana. Kwenye nusutufe ya kusini mwendo ni kinyume, kuanzia sasa mchana hurefuka na giza ya usiku kupungua. Mabadiliko haya yanaonekana kote duniani kwenye umbali fulani kutoka ikweta.
Matukio
Waliozaliwa
- 1740 - Go-Sakuramachi, Mfalme Mkuu wa 117 wa Japani (1762-1771)
- 1771 - Kokaku, Mfalme Mkuu wa 119 wa Japani (1779-1817)
- 1901 - Jaroslav Seifert (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1984)
- 1915 - Clifford Shull, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1994
- 1926 - John Coltrane, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1949 - Bruce Springsteen, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1972 - Jermaine Dupri, mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki
- 1835 - Vincenzo Bellini, mtunzi wa opera kutoka Italia
- 1929 - Richard Zsigmondy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1925)
- 1968 - Mtakatifu Pio wa Pietrelcina, mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo kutoka Italia
- 1973 - Pablo Neruda (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1971)