Demokrasia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[File:Election MG 3455.JPG|thumb|Demokrasia inahusisha upigaji wa kura.]]
[[File:Election MG 3455.JPG|thumb|Demokrasia inahusisha upigaji wa kura.]]
'''Demokrasia''' (kutoka neno la [[Kigiriki]] δημοκρατία, ''dēmokratía'', maana yake ''utawala wa watu'': δῆμος, dêmos, maana yake "watu" na κράτος, krátos, maana yake utawala) ni aina ya [[serikali]].
'''Demokrasia''' (kutoka neno la [[Kigiriki]] δημοκρατία, ''dēmokratía'', maana yake ''utawala wa watu'': δῆμος, dêmos, maana yake "watu" na κράτος, krátos, maana yake utawala) ni aina ya [[serikali]].

"rule of the people",[4] which was found from
Neno hilo lilitumika kuanzia [[karne ya 5 KK]] kuelezea mtindo wa utawala uliotumika katika [[Athene]] na [[miji]] mingine kadhaa ya [[Ugiriki]], kinyume cha ἀριστοκρατία, aristokratía, "utawala wa masharifu".

Kwenye demokrasia watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao.
Kwenye demokrasia watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao.



Pitio la 13:45, 12 Novemba 2015

Demokrasia inahusisha upigaji wa kura.

Demokrasia (kutoka neno la Kigiriki δημοκρατία, dēmokratía, maana yake utawala wa watu: δῆμος, dêmos, maana yake "watu" na κράτος, krátos, maana yake utawala) ni aina ya serikali.

Neno hilo lilitumika kuanzia karne ya 5 KK kuelezea mtindo wa utawala uliotumika katika Athene na miji mingine kadhaa ya Ugiriki, kinyume cha ἀριστοκρατία, aristokratía, "utawala wa masharifu".

Kwenye demokrasia watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao.

Kuna njia nyingi za kufanya hivi, lakini mchakato kamili kwa kawaida huitwa kushikilia uchaguzi.

Vyama vya siasa huhusika na masuala ya siasa. Yaonekana kwamba yaweza kuwa rahisi kuwa na chama cha kisiasa. Chama kitakachoshinda uchaguzi kitamchagua kiongozi kinayemtaka.