Ashuru : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 9: Mstari 9:
Katika Mwa. 10:11 haieleweki vizuri kama jina "Ashuru" linamtaja mtu au mji<ref>Mwa 10:11 "Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala ..." - hii ni tafsiri ya "Biblica" ambayo katika aya hii inashika vizuri namna ya lugha ya Kiebrania isiyosema wazi kama mtendaji wa aya iliyotangulia (=Nimrodi) anakwenda Ashuru (=Mahali) anapojenga Ninawi, au kama ni mtu kwa jina la Ashuru anayetoak mahali palipotajwa awali na kujenga Ninawi </ref>. Matoleo ya Biblia kwa lugha mbalimbali zinatafsiri tofauti hapa.
Katika Mwa. 10:11 haieleweki vizuri kama jina "Ashuru" linamtaja mtu au mji<ref>Mwa 10:11 "Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala ..." - hii ni tafsiri ya "Biblica" ambayo katika aya hii inashika vizuri namna ya lugha ya Kiebrania isiyosema wazi kama mtendaji wa aya iliyotangulia (=Nimrodi) anakwenda Ashuru (=Mahali) anapojenga Ninawi, au kama ni mtu kwa jina la Ashuru anayetoak mahali palipotajwa awali na kujenga Ninawi </ref>. Matoleo ya Biblia kwa lugha mbalimbali zinatafsiri tofauti hapa.


==Marejeo==
{{marejeo}}


[[jamii:Watu wa Biblia]]
[[jamii:Watu wa Biblia]]

Toleo la sasa la 22:02, 10 Novemba 2015

Ashuru (ebr. אַשּׁוּר ) ni jina la mtu katika kitabu cha Mwanzo cha Biblia.

Kufuatana na masimulizi ya Mwanzo 10:11 alikuwa mwana wa pili wa Shemu mwana wa Nuhu. Kaka zake waliitwa Elamu, Arfaksadi, Ludi na Aramu[1].

Hakuna taarifa katika Biblia kuhusu ukoo wa Ashuru.

Ashuru ni pia jina la mji wa Ashuru na milki ya Ashuru na maeneo yao.

Katika Mwa. 10:11 haieleweki vizuri kama jina "Ashuru" linamtaja mtu au mji[2]. Matoleo ya Biblia kwa lugha mbalimbali zinatafsiri tofauti hapa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Mwa 10:22 : "Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. "
  2. Mwa 10:11 "Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala ..." - hii ni tafsiri ya "Biblica" ambayo katika aya hii inashika vizuri namna ya lugha ya Kiebrania isiyosema wazi kama mtendaji wa aya iliyotangulia (=Nimrodi) anakwenda Ashuru (=Mahali) anapojenga Ninawi, au kama ni mtu kwa jina la Ashuru anayetoak mahali palipotajwa awali na kujenga Ninawi