Ashuru : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 9: | Mstari 9: | ||
Katika Mwa. 10:11 haieleweki vizuri kama jina "Ashuru" linamtaja mtu au mji<ref>Mwa 10:11 "Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala ..." - hii ni tafsiri ya "Biblica" ambayo katika aya hii inashika vizuri namna ya lugha ya Kiebrania isiyosema wazi kama mtendaji wa aya iliyotangulia (=Nimrodi) anakwenda Ashuru (=Mahali) anapojenga Ninawi, au kama ni mtu kwa jina la Ashuru anayetoak mahali palipotajwa awali na kujenga Ninawi </ref>. Matoleo ya Biblia kwa lugha mbalimbali zinatafsiri tofauti hapa. |
Katika Mwa. 10:11 haieleweki vizuri kama jina "Ashuru" linamtaja mtu au mji<ref>Mwa 10:11 "Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala ..." - hii ni tafsiri ya "Biblica" ambayo katika aya hii inashika vizuri namna ya lugha ya Kiebrania isiyosema wazi kama mtendaji wa aya iliyotangulia (=Nimrodi) anakwenda Ashuru (=Mahali) anapojenga Ninawi, au kama ni mtu kwa jina la Ashuru anayetoak mahali palipotajwa awali na kujenga Ninawi </ref>. Matoleo ya Biblia kwa lugha mbalimbali zinatafsiri tofauti hapa. |
||
==Marejeo== |
|||
{{marejeo}} |
|||
[[jamii:Watu wa Biblia]] |
[[jamii:Watu wa Biblia]] |
Toleo la sasa la 22:02, 10 Novemba 2015
Ashuru (ebr. אַשּׁוּר ) ni jina la mtu katika kitabu cha Mwanzo cha Biblia.
Kufuatana na masimulizi ya Mwanzo 10:11 alikuwa mwana wa pili wa Shemu mwana wa Nuhu. Kaka zake waliitwa Elamu, Arfaksadi, Ludi na Aramu[1].
Hakuna taarifa katika Biblia kuhusu ukoo wa Ashuru.
Ashuru ni pia jina la mji wa Ashuru na milki ya Ashuru na maeneo yao.
Katika Mwa. 10:11 haieleweki vizuri kama jina "Ashuru" linamtaja mtu au mji[2]. Matoleo ya Biblia kwa lugha mbalimbali zinatafsiri tofauti hapa.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mwa 10:22 : "Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. "
- ↑ Mwa 10:11 "Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala ..." - hii ni tafsiri ya "Biblica" ambayo katika aya hii inashika vizuri namna ya lugha ya Kiebrania isiyosema wazi kama mtendaji wa aya iliyotangulia (=Nimrodi) anakwenda Ashuru (=Mahali) anapojenga Ninawi, au kama ni mtu kwa jina la Ashuru anayetoak mahali palipotajwa awali na kujenga Ninawi