Sitini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Sitini''' (kutoka Kiarabu ستون) ni namba inayoandikwa '''60''' kwa tarakimu za kawaida na LX kwa zile za Kirumi. Ni n...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 12:52, 10 Novemba 2015
Sitini (kutoka Kiarabu ستون) ni namba inayoandikwa 60 kwa tarakimu za kawaida na LX kwa zile za Kirumi.
Ni namba asilia inayofuata 59 na kutangulia 61.
Tanbihi
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |