Afya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
Tengua pitio 959868 lililoandikwa na AMANIEL CLEOPA MCHOME (Majadiliano) |
||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
* Kwa watu wengi ni hali ya kutosumbuliwa na [[maumivu]] na [[udhaifu]], pamoja na uwezo wa kutumia sehemu zote za mwili. Ni wazi ya kwamba [[hisia]] hii ni tofauti kati ya mtu na mtu. |
* Kwa watu wengi ni hali ya kutosumbuliwa na [[maumivu]] na [[udhaifu]], pamoja na uwezo wa kutumia sehemu zote za mwili. Ni wazi ya kwamba [[hisia]] hii ni tofauti kati ya mtu na mtu. |
||
==Naishauri hii nchi ya Tanzania iongeze hospitali za kutosha na wataalamu wa mambo ya afya hasa kwa maeneo ya vijijini kwani hii itasaidia kupunguza vifo . |
|||
==Majukumu== |
==Majukumu== |
||
[[Serikali]] zinatarajiwa kujenga [[hospitali]] nyingi hata [[kijiji|vijijini]] kwa sababu watu wengi hupoteza maisha kwa kukosa [[huduma]] za afya. |
[[Serikali]] zinatarajiwa kuandaa [[wataalamu]] wa mambo ya afya na kujenga [[hospitali]] nyingi hata [[kijiji|vijijini]] kwa sababu watu wengi hupoteza maisha kwa kukosa [[huduma]] za afya: hii itasaidia kupunguza [[Kifo|vifo]]. |
||
== Tanbihi == |
== Tanbihi == |
||
<references /> |
<references /> |
||
==Viungo vya |
==Viungo vya nje== |
||
{{Wiktionary|Health}} |
{{Wiktionary|Health}} |
||
{{Wikiquote|Health}} |
{{Wikiquote|Health}} |
Pitio la 12:41, 3 Novemba 2015
Afya ni hali ya kujisikia vizuri kimwili na kiroho bila kusumbuliwa na ugonjwa wowote.
Sawa na suala la ugonjwa, hakuna elezo kamili kuhusu hali ya afya.
Fafanuzi za afya
- Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitoa ufafanuzi ufuatao: "Afya ni hali ya ustawi kamili kimwili, kiroho na kijamii na zaidi ya kukosa ugonjwa." [1]
- Mwanafalsafa Friedrich Nietzsche: "Afya ni kiwango cha ugonjwa kinachoniruhusu kutekeleza shughuli zangu muhimu."
- Mwanasosholojia Talcott Parsons: "Afya ni hali ya mtu kuwa na uwezo bora wa kutekeleza shughuli alizofundishwa kukubali kama wajibu wake."
- Kwa watu wengi ni hali ya kutosumbuliwa na maumivu na udhaifu, pamoja na uwezo wa kutumia sehemu zote za mwili. Ni wazi ya kwamba hisia hii ni tofauti kati ya mtu na mtu.
Majukumu
Serikali zinatarajiwa kuandaa wataalamu wa mambo ya afya na kujenga hospitali nyingi hata vijijini kwa sababu watu wengi hupoteza maisha kwa kukosa huduma za afya: hii itasaidia kupunguza vifo.
Tanbihi
- ↑ http://www.who.int/bulletin/archives/80(12)981.pdf ''WHO definition of Health''
Viungo vya nje
- World Health Organization
- UK National Health Service
- OECD Health Statistics
- Health and Medical Information from the University of Colorado
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Afya kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |