Nile ya buluu : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
imeunganishwa na Abbai |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
{{Unganisha|Abbai}} |
|||
{{Mto | jina = Mto wa Nile ya buluu ([[Ethiopia]]: [[Abbai]]) |
{{Mto | jina = Mto wa Nile ya buluu ([[Ethiopia]]: [[Abbai]]) |
||
| picha = Blue Nile Falls Ethiopia.jpg |
| picha = Blue Nile Falls Ethiopia.jpg |
Pitio la 07:18, 30 Oktoba 2015
Chanzo | Ziwa Tana (chemchemi ya Gishe Abbai) |
Mdomo | Mto Nile mjini Khartum (Sudan) |
Nchi | Ethiopia, Sudan |
Urefu | 1.350 km |
Kimo cha chanzo | 1830 m |
Mkondo | ?? m³/s |
Eneo la beseni | 326,400 km² |
Nile ya buluu ni tawimto mkubwa wa mto Nile. Inaanza katika Ziwa Tana kwenye nyanda za juu za Ethiopia na kutelemka hadi Sudan. Mdomo wake ni Sudan mjini Khartum inapounganika na Nile nyeupe na kuunda mto wa Nile mwenyewe.
Kwa jumla Nile ya bluu inabeba maji mengi kushinda Nile nyeupe.
'Ndani ya nchi Ethiopia mto huitwa kwa jina Abbai' (mto mkubwa, pia Abay au Abai) ni mto mkubwa kabisa katika Ethiopia.
Baada ya kutoka Ethiopia na kuingia Sudan inaitwa kwa (Kiarabu: النيل الأزرق; an-nīl al-azraq).
Ina chanzo chake kwenye kimo cha mita 1800 juu ya UB inapotoka katika Ziwa Tana katika nyanda za juu za Ethiopia. Kwanza inaelekea kusini-mashariki lakini inabadilika mwelekeo kwenda magharibi halafu kaskazini.
Waethiopia wengi wanasemekana kuitazama kama mto mtakatifu.
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Nile ya buluu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |